Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa pogba anahusika labda ajirekebishe. Kwanza huyu jamaa basi tu sema ni biashara ila naona na yeye angefunguliwa mlango tu, pamoja na upungufu wa kocha mchezaji huwezi taka kuwa juu ya kocha pumbafu sana. Hiyo ni kutaka kuwa juu ya timu nzima.

‪Pogba was so tired with Manchester United ‘s style of play that he didn’t take pleasure being part of a team with ‘such weak ambitions in the game and didn’t feel like playing for Mourinho anymore
 
47583290_287938338739370_837057763910361265_n.jpg
 
‪Pogba was so tired with Manchester United ‘s style of play that he didn’t take pleasure being part of a team with ‘such weak ambitions in the game and didn’t feel like playing for Mourinho anymore
Kwani yeye ni nani hasa? Kwa hiyo yeye alikuwa juu ya Mwl akawa anajiamulia tu? Kumbuka Mwl Na yeye alikuwa anahitaji mafanikio kwa hiyo mbinu alizokuwa anatumia aliamini zikitekelezwa zingeleta matokeo mazuri. Wachezaji Wa aina hii tegemea hata kwa kocha mwingine watafanya hivyohivyo.
 
Carragher: “If Pochettino is offered the United job, he has to take it. It does not matter how great Spurs’ new stadium is and how many supporters fill it. It doesn’t even matter what they win. Spurs are not United. They’ll never be as big as United.”
 
Carragher: “If Pochettino is offered the United job, he has to take it. It does not matter how great Spurs’ new stadium is and how many supporters fill it. It doesn’t even matter what they win. Spurs are not United. They’ll never be as big as United.”

carragher anatafuta beef na spurs mana sio kwa dongo hilo
 
Carragher: “If Pochettino is offered the United job, he has to take it. It does not matter how great Spurs’ new stadium is and how many supporters fill it. It doesn’t even matter what they win. Spurs are not United. They’ll never be as big as United.”
Absolute reality! Huyu taahira kumbe wakati mwingine huwa anaongea point asee
 
  1. nitamhukumu ole gunnar solskjaer pindi atakapoanza kazi rasmi na si muda huu ambao ndio kwanza anasafisha suti zake kwa ajili ya kuhamia rasmi ikulu ya old trafford.
  2. barcelona baada ya kumtimua kocha mwenye uzoefu frank rijkard waliziba nafasi yake kwa kumuajiri josep guardiola ambaye CV yake ilikuwa nyepesi kuliko waraka wa maaskofu,hivi unadhani hawakuwepo makocha wenye uzoefu.
  3. baada ya guardiola kuondoka barcelona walimuajiri marehemu titto villanova ambaye alikuwa ni msaidizi wa guardiola na yeye CV yake ilikuwa nyepesi kuliko cheti cha Daud.
  4. madrid walimpa ajira zidane ambaye na yeye hakuwa na uzoefu wowote lakini alichokifanya ni kikubwa zaidi kuliko uzito wa kipara chake.
  5. mfano mwengine ni diego simeone na atletico madrid, leo hii ameifanya iwe timu ngumu, vipi kuhusu santiago solari na madrid yake muda huu?
  6. kama solkskjaer atafanya vizuri basi klabu impe mkataba wa muda mrefu na isihangaike na makocha wengineo kama zilivyofanya klabu nyenginezo kama barcelona na madrid. hizi si nyakati za kupima ubora wa kocha kwa kutumia hoja ya uzoefu bali mafanikio yake ndio yatazamwe kwa jicho la mwewe, unajua kama kenny daglish ilimshinda liverpool lakini jurgen klopp anaelekea kufanikiwa.
  7. faida kubwa ya ujio wa ole gunnar solskjaer ni kwamba hatatokea yeyote anayejiita legend ambaye atathubutu kumkejeli mungu mwenye sura ya kitoto, hutomsikia paul scholes, giggs, neville brother,ferdinand na wengineo wakinyanyua mdomo wao kama mambo yatakwenda vibaya, labda awe mzungu asiyependa unafiki kama roy keane.
  8. utawezaje kumkejeli mwanadamu aliyemfanya janadume lililoshiba maziwa ya mama yake anayeitwa samuel kuffour apige kelele kama mwizi aliyekatwa mkono pale nou camp mnamo mwaka 1999, ujio wa solskjaer kiupande wangu nauchukulia kama ni mzigo kwa bwana ed woodward na kibarua chake pamoja na pogba akishirikiana na crew yake inayo muunga mguu na mkono
  9. kama solakjaer atafanya vibaya hao legend wote watamgeuzia kibao ed woodward na watasema ya kwamba yeye ndio tatizo kwa kushindwa kutofautisha soka na biashara, pia watamshambulia paul na wachezaji wengineo ambao watashutumiwa hawaithamini nembo ya klabu bali wanathamini maslahi yao.
  10. kumsubiria ole gunnar solakjaer afanye vibaya ni sawa sawa na kumsubiria kylian mbappe afikishe miaka 20 ya kuzaliwa au kumsubiria romelu lukaku afunge goli mita 30 kama wayne rooney. nitamhukumu mwanadamu aliyenipa tabu kutamka jina lake nyakati zile nilipokuwa na uelewa mdogo zaidi kuliko huu niliokuwa nao pindi atakapoanza kazi.
Uko vizuri mkuu
 
Ole labda aje alete spirit ya juu kwenye timu,ila kimbinu sina imani kama ana jipya. Nadhani atategemea zaidi nguvu ya wachezaji kuliko mbinu za kiufundishaji. N way suala la msingi timu angalau icheze mpira mzuri Wa kutisha wapinzani kidogo
Sasa wewe huoni kama nguvu ya wachezaji ni muhimu kuliko kocha. Dakika 90 wanakuwa bila kocha mle uwanjani.wachezaji tayari ni wataalamu kocha kazi yake ni instructions, coordination and not teaching.
 
Solskjaer on De Gea: 'We have the best goalkeeper in the world, he's been here eight years and he is still a young keeper developing, it's fantastic for me to come in. Maybe I'll have to do some finishing training to take him down a peg a little bit.’

Mourinho na van gaal pia waliongea tunamuangusha sana ila kwa sasa tumlinde basi.
 
Sasa wewe huoni kama nguvu ya wachezaji ni muhimu kuliko kocha. Dakika 90 wanakuwa bila kocha mle uwanjani.wachezaji tayari ni wataalamu kocha kazi yake ni instructions, coordination and not teaching.
Kocha ni lazima awe na mbinu thabiti za kukabiliaana maadui tofauti,na wakati mwingine Mwl inabidi ubadili mbinu kulingana na adui unaecheza naye. Ndo hiyo ninayoongelea Mimi. Mfano Mzee ferg alikuwa ni msomaji mzuri sana Wa adui,kuna kipindi bila kutegemea unakuta umewekewa giggs namba 6 wakati ulijiandaa kwa kucheza na fletcher au scholes
 
Mfumo huu tunahitaji kuwa na Beki za uhakika, namba 4 na 5 Kama ilivyokuwa kwa Rio na Nemanja ambao watakuwa na Kazi kubwa ya kuharibu na kuzuia mashambulizi ya timu pinzani.

Sina wasiwasi na Baily Tatizo kwa Pacha wa kucheza Naye?na Baily huwa na udhaifu wa kuchoka mapema na kuwahi kupanic/kuvurugwa kimchezo. So far so good bado Man U ina kikosi kizuri na kipana.
 
Ndio mana Management imemleta pia Big Phelan.

Na matatizo kwa Man U yalianzia hapa, baada ya Fergie kuondoka timu ingeachwa kwa Big Phelan ambaye aliziishi Falsafa na Mbinu za Fergie.
 
Je lilikuwa suluhisho kumtimua Jose mourinho?
Je baada ya kumtimua matatizo ya man united yatakuwa yamekwisha?
Je tatizo la man united lilikuwa mourinho au wachezaji?
Je baada ya mourinho kuondoka man united itaanza kufanya vizuri?

Ni maswali ninayojiuliza
Licha ya kuwa na matatizo kadhaa Katika timu, Kumfukuza Josse Mourihno ni Jawabu sahihi na hatua muhimu.

Kuna faida kimbinu na kifalsafa.

Tatizo la Man United halikuwa wachezaji, Tatizo lilikuwa Kocha.

Pep Gurdiola amewahi kutamani kuwa Mwalimu wa Man U kutokana na kikosi kilichopo.

Kama imewezekana kuwabadilisha Sterling na De Burnye kuwa Classic player kutoka Norma player basi kulikuwa na uwezekano wa kumfanya Martial kuwa na Dunia ya peke yake.

Mourihno ni Kocha anahetumia Mbinu ngumu Katika michezo rahisi.

Falsafa yake ya kupenda kukaba kuliko kushambulia Ndio iliyomponza.
 
  1. nitamhukumu ole gunnar solskjaer pindi atakapoanza kazi rasmi na si muda huu ambao ndio kwanza anasafisha suti zake kwa ajili ya kuhamia rasmi ikulu ya old trafford.
  2. barcelona baada ya kumtimua kocha mwenye uzoefu frank rijkard waliziba nafasi yake kwa kumuajiri josep guardiola ambaye CV yake ilikuwa nyepesi kuliko waraka wa maaskofu,hivi unadhani hawakuwepo makocha wenye uzoefu.
  3. baada ya guardiola kuondoka barcelona walimuajiri marehemu titto villanova ambaye alikuwa ni msaidizi wa guardiola na yeye CV yake ilikuwa nyepesi kuliko cheti cha Daud.
  4. madrid walimpa ajira zidane ambaye na yeye hakuwa na uzoefu wowote lakini alichokifanya ni kikubwa zaidi kuliko uzito wa kipara chake.
  5. mfano mwengine ni diego simeone na atletico madrid, leo hii ameifanya iwe timu ngumu, vipi kuhusu santiago solari na madrid yake muda huu?
  6. kama solkskjaer atafanya vizuri basi klabu impe mkataba wa muda mrefu na isihangaike na makocha wengineo kama zilivyofanya klabu nyenginezo kama barcelona na madrid. hizi si nyakati za kupima ubora wa kocha kwa kutumia hoja ya uzoefu bali mafanikio yake ndio yatazamwe kwa jicho la mwewe, unajua kama kenny daglish ilimshinda liverpool lakini jurgen klopp anaelekea kufanikiwa.
  7. faida kubwa ya ujio wa ole gunnar solskjaer ni kwamba hatatokea yeyote anayejiita legend ambaye atathubutu kumkejeli mungu mwenye sura ya kitoto, hutomsikia paul scholes, giggs, neville brother,ferdinand na wengineo wakinyanyua mdomo wao kama mambo yatakwenda vibaya, labda awe mzungu asiyependa unafiki kama roy keane.
  8. utawezaje kumkejeli mwanadamu aliyemfanya janadume lililoshiba maziwa ya mama yake anayeitwa samuel kuffour apige kelele kama mwizi aliyekatwa mkono pale nou camp mnamo mwaka 1999, ujio wa solskjaer kiupande wangu nauchukulia kama ni mzigo kwa bwana ed woodward na kibarua chake pamoja na pogba akishirikiana na crew yake inayo muunga mguu na mkono
  9. kama solakjaer atafanya vibaya hao legend wote watamgeuzia kibao ed woodward na watasema ya kwamba yeye ndio tatizo kwa kushindwa kutofautisha soka na biashara, pia watamshambulia paul na wachezaji wengineo ambao watashutumiwa hawaithamini nembo ya klabu bali wanathamini maslahi yao.
  10. kumsubiria ole gunnar solakjaer afanye vibaya ni sawa sawa na kumsubiria kylian mbappe afikishe miaka 20 ya kuzaliwa au kumsubiria romelu lukaku afunge goli mita 30 kama wayne rooney. nitamhukumu mwanadamu aliyenipa tabu kutamka jina lake nyakati zile nilipokuwa na uelewa mdogo zaidi kuliko huu niliokuwa nao pindi atakapoanza kazi.
Umecheki mbali sana asee, Vema sana.
 
SAF alikuwa na kikosi cha namna gani Mkuu?Kwangu Kocha mzuri ni Yule anayeweza kuwabadilisha normal player kuwa Classic player like Pep G doing now.

Una Martial, Matic, Herera na Pogba then bado una lalamika huna timu.

Matic anakuja United akitoka Chelsea kuwa kiungo aliyekimbia km nyingi uwanajani, now Matic ameshuka Kiwango, Martial, Pogba n.k

Kwangu Mou hana Sifa ya kulea vipaji.
Man utd has bigger problem zaidi ya kocha , bunch of average players ambao hata kocha mpya hawezi kuwabadili na hao wakina egoist players ambao ndio wachafuzi wa dressing rooms and training sessions and since atakuwa intern coach inaweza kuwa ni majanga zaidi ya faida kumfukuza Mou muda huu..
 
SAF alikuwa na kikosi cha namna gani Mkuu?Kwangu Kocha mzuri ni Yule anayeweza kuwabadilisha normal player kuwa Classic player like Pep G doing now.

Una Martial, Matic, Herera na Pogba then bado una lalamika huna timu.

Matic anakuja United akitoka Chelsea kuwa kiungo aliyekimbia km nyingi uwanajani, now Matic ameshuka Kiwango, Martial, Pogba n.k

Kwangu Mou hana Sifa ya kulea vipaji.
Mou hana shida ya kulea vipaji, kama umeshindwa kujilea ni wewe, shida yake vikombe tu...
 
Back
Top Bottom