Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha ni lazima awe na mbinu thabiti za kukabiliaana maadui tofauti,na wakati mwingine Mwl inabidi ubadili mbinu kulingana na adui unaecheza naye. Ndo hiyo ninayoongelea Mimi. Mfano Mzee ferg alikuwa ni msomaji mzuri sana Wa adui,kuna kipindi bila kutegemea unakuta umewekewa giggs namba 6 wakati ulijiandaa kwa kucheza na fletcher au scholes
Hii ni kweli

Kuna siku SAF alipanga mabeki 7 uwanjani dhidi ya Arsenal, Arsenal walilala 3 siku hiyo
 
Hii ni kweli

Kuna siku SAF alipanga mabeki 7 uwanjani dhidi ya Arsenal, Arsenal walilala 3 siku hiyo
Sory, Arsenal alilala 2
Screenshot_2018-12-22-09-59-38.jpg
 
Kwani De Gea na Kurius wana tofauti gani mkuu?
1. Degea golikipa namba 1 Spain, Karius hata National team ya ujerumani hajawahi kunusa

2. Degea ameshinda EPL, ameshinda Europa League Cup, ameshinda kombe la FA, ameshinda Kombe la Ligi, Ameshinda Community shield 3, Karius hajawahi kushinda hata njaa

3. Degea katika misimu 6 iliyopita, amekuwa best Golie kwa misimu 5, Degea ameshinda EPL tuzo ya Golden Gloves mara kadhaa

4. Yote juu ya yote Degea anacheza timu kubwa ulimwenguni in Manchester, unaweza kunikumbusha timu anayocheza Karius?
 
Mie kwa mata naweka Rashford,kwa Rashford naweka Martial,kwa Martial naweka lukaku namrudishia confidence tu...kwa young naweka Shaw kwa dalot tupo pamoja ila Valencia mapafu yake bado tunayaitaji hapo.
Lukaku hayupo mkuu
 
We mou bado upo tuu?


Joke
Mkuu Hamna, hata wachambuzi wengi duniani wanamuweka Smalling kikosini badala ya Bailly.

Lakini Matic hawataki hata kumsikia (japo mimi bado ninamuamini, lakini naunga mkono kupumzishwa, sio kupigwa benchi)

Tupo pamoja mkuu
 
Ole labda aje alete spirit ya juu kwenye timu,ila kimbinu sina imani kama ana jipya. Nadhani atategemea zaidi nguvu ya wachezaji kuliko mbinu za kiufundishaji. N way suala la msingi timu angalau icheze mpira mzuri Wa kutisha wapinzani kidogo
Ni kweli

Kwenye press juzi aliulizwa kuhusu kufanya vibaya akiwa Cardiff, akasema kuna makosa alifanya, na baada ya kuondoka Uingereza alipata muda wa kujitathmini na kusema makosa yamemfanya ajifunze zaidi.

Hata hivyo uwepo Mike Phellan utamsaidia.

Lakini tukumbuke anamshikia timu Poch, labda afanye miujiza kwa kipindi cha miezi 5 atayoiongoza timu.
 
‪Pogba was so tired with Manchester United ‘s style of play that he didn’t take pleasure being part of a team with ‘such weak ambitions in the game and didn’t feel like playing for Mourinho anymore
And that is what we call unprofessionalism contrary to United ways
 
Hujanielewa vema,nnachomaanisha mchezaji alipaswa kumsikiliza kocha acheze ajitumetu kisha matokeo ndio yangeleta tu Picha ya mbinu mbovu za Mwl kama ilivyotokea. Hakupaswa kusumbua hadi sisi huku tuone pogba anamletea kiburi Mwl,hajitumi,anakaa na mpira muda mrefu ananyang'anywa halafu wenzie walioutafuta wakampa wanaanza tena kuukimbiza yeye hataki kuukimbiza,Mara aseme mimi namba ninayopangwa siyo,wakati France anacheza hiyohiyo. Kwa ufupi hakuonyesha passion toka mwanzo kabisa na wachezaji Wa aina hii haya aliyofanya Leo kesho atafanya kwa Mwl mwingine. Hii huwa inapooza sana morali ya wachezaji wengine sababu nao wanaanza kujiuliza yeye ni nani hadi afanye hivyo!
Huyu jamaa mechi ya Southampton amepoteza mpira mara 14, wenzake 10 waliobaki wamepoteza mara 16, halafu hapo unalaumu mbinu za Jose.

Ndio maana humu kuna watu hata sisomi comments zao
Screenshot_2018-12-22-10-37-00.jpg
 
Hahaha kwaiyo na wewe una uhakika ya kwamba utamtoa PSG!! Hivi unajua ulichokiandika kweli.!! Usije Sema Mou ndo alikuwa tatizo Man united..

Nyie mkubali tu msimu huu mpambane ili mpate nafasi ya kucheza Europa msimu ujao.
We mbona muoga psg anakipi cha kututisha? Labda chelsea

Kila mechi na mipango yake
20181222_104405.jpeg
 
inhemua wewe ni kocha umepewa fursa ya kuodoa wachezaji watatu pale man u ungewaondoa kina nani na kwa sababu zipi
Rojo---anacheza so agressive,bila kutumia akili kwenye situation mbalimbali,,majeruhi pia.

Fellaine---hakuna timu kubwa itakayokubali huyu mtu awe kwenye timu yao..the player who can't even move with a ball for a couple of steps..Wtf..huyu namuondoa mara moja

Jones----Brainless defender,,namfyekelea mbali..lile goli alilojifunga juzi naomba mtu aniambie pale alikuwa anataka kufanya nini??
 
Hujanielewa vema,nnachomaanisha mchezaji alipaswa kumsikiliza kocha acheze ajitumetu kisha matokeo ndio yangeleta tu Picha ya mbinu mbovu za Mwl kama ilivyotokea. Hakupaswa kusumbua hadi sisi huku tuone pogba anamletea kiburi Mwl,hajitumi,anakaa na mpira muda mrefu ananyang'anywa halafu wenzie walioutafuta wakampa wanaanza tena kuukimbiza yeye hataki kuukimbiza,Mara aseme mimi namba ninayopangwa siyo,wakati France anacheza hiyohiyo. Kwa ufupi hakuonyesha passion toka mwanzo kabisa na wachezaji Wa aina hii haya aliyofanya Leo kesho atafanya kwa Mwl mwingine. Hii huwa inapooza sana morali ya wachezaji wengine sababu nao wanaanza kujiuliza yeye ni nani hadi afanye hivyo!
Eti hayo anayoyafanya atayafanya kwa Mwalimu mwingine ??? Geraaaa auuuu hiaaaaaaaa



Mbona Hakuwa hivyo juventus ??? , mbona hawi hivyo akiwa national team ??? ...


Halafu mbona team ikiwa na matokeo na mazuri huwa hakuna chokochoko ??? Kwanini team inakuwa na chokochoko kipindi cha matokeo mabaya ??


Nikwambie Kitu Mourinho hana Team management skills hususani team inapokuwa inapitia vipindi vigumu, NI LAZIMA LAWAMA AWATUPIE WACHEZAJI.


Unakumbuka kipindi anapata matokeo mabaya akiwa Chelsea??? Unajua wachezaji aliowataja kuwa ni wachawi wake kwa jina lake aliwaita THREE BIG RATS. Mmoja wa hao wachezaji alikuwa Edin Hazard. Hebu kaa chini uiangalie chelsea na ufikiri kuwa team ingekuwaje kama ingekuwa imemuuza Hazard kwa sababu ya upuuzi wa kocha mmoja Mwenye roho ya kiswahili.


Huo ujinga wake ndio aliuendeleza katika team yetu. KWANZA AMEFANIKIWA KUWAGAWA MASHABIKI MBWA HUYU.


Ngoja niishie hapa
 
Leo Cardif anawapa kipigo cha mbwa mwizi, na Soon natabari kampeni mpya ya #OleOut #BringBackMOU itaanza
 
Eti hayo anayoyafanya atayafanya kwa Mwalimu mwingine ??? Geraaaa auuuu hiaaaaaaaa



Mbona Hakuwa hivyo juventus ??? , mbona hawi hivyo akiwa national team ??? ...


Halafu mbona team ikiwa na matokeo na mazuri huwa hakuna chokochoko ??? Kwanini team inakuwa na chokochoko kipindi cha matokeo mabaya ??


Nikwambie Kitu Mourinho hana Team management skills hususani team inapokuwa inapitia vipindi vigumu, NI LAZIMA LAWAMA AWATUPIE WACHEZAJI.


Unakumbuka kipindi anapata matokeo mabaya akiwa Chelsea??? Unajua wachezaji aliowataja kuwa ni wachawi wake kwa jina lake aliwaita THREE BIG RATS. Mmoja wa hao wachezaji alikuwa Edin Hazard. Hebu kaa chini uiangalie chelsea na ufikiri kuwa team ingekuwaje kama ingekuwa imemuuza Hazard kwa sababu ya upuuzi wa kocha mmoja Mwenye roho ya kiswahili.


Huo ujinga wake ndio aliuendeleza katika team yetu. KWANZA AMEFANIKIWA KUWAGAWA MASHABIKI MBWA HUYU.


Ngoja niishie hapa
Antonio Conte sacked: Eden Hazard 'paramount' to Chelsea decision to axe Italian coach

EDEN HAZARD was vitally important to Chelsea's decision to sack Antonio Conte, reports say.

The Italian has finally been let go by the Blues after months of speculation.
The writing had been on the wall for some time for the former Juventus manager, with Maurizio Sarri set to take over either today or tomorrow.
It has been an ongoing saga that threatened to go on all summer but action has finally been taken.
Conte even turned up to take training sessions this week amid the confusion - but player power still appears to rule the roost at Stamford Bridge.
The Telegraph have reported that paramount to the decision was the future of Hazard - who has threatened to leave.

Kule kwa Mou Hazard alijumuishwa kwenye panya 3 na huku kwa Conte panya huyu aliendelea kuhusishwa. Ukilea wachezaji Wa hivyo tegemea muendelezo wa migongano na walimu wengine. Yaani hapa manake mchezaji anadictate kazi ya Mwl,siku akijisikia kuleta kiburi analianzisha tu. Ferg alimuuza Becks brand kuliko Pogba ktk wakati ambao hakuna mshabiki Wa Man U alimuelewa, Ruud van nesterlooy, hii yote ni kwa sababu aliona hao wanaanza kuleta instability ktk timu.
 
Mkuu Hamna, hata wachambuzi wengi duniani wanamuweka Smalling kikosini badala ya Bailly.

Lakini Matic hawataki hata kumsikia (japo mimi bado ninamuamini, lakini naunga mkono kupumzishwa, sio kupigwa benchi)

Tupo pamoja mkuu
Kwa smalling sina tatizo, kwa matic ninataka kuona tu, timu ikicheza bila matic inakuwaje,
Ila kwa kuwa kocha ni mpya nazani kila mtu atapewa chance(including matic).

Kwa kuwa matic anaelekea ukingoni nimeona wachambuzi wengi kwenye forum za man u, wanapendekeza TMF, ambaye ni beki, ahamishiwe DM.
 
Back
Top Bottom