Utasema yote tu mkuuKuna mtu alisema humu hata simkumbuki kwamba bailly hapangwi kwa sababu rojo majeruhi.... Maana ndie anaefit nae
Mkuu natafuta link niuone mpira aiseee onlineKuna mtu alisema humu hata simkumbuki kwamba bailly hapangwi kwa sababu rojo majeruhi.... Maana ndie anaefit nae
Wakikujibu nitag mkuuAisee..live streaming yoyote mwenye idea
Amebakia mmoja, aking'ofolewa huyo timu ina kaa sawa.Ila Leo Vijana Wanajituma.
Ila Izi Kadi Dooh!!




Vitu viwili vinavyo tufelisha Man United
1. Uwepo wa Pogba Uwanjani
2. Uwepo wa huyu Mzee Fergason