Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utd Vs Young Boys
Inst-image-2.jpg
 
Leo mnasare

Hao watoto game ya kwanza mliwafunga ,ila wao ndio walicheza vzr, leo mnasare kwakuwa mpo OT,Nimewaheshimu
 
Team selection ya leo ina reflect alichosema, ataangalia wafia timu (heart) kwenye kupanga kikosi
Screenshot_2018-11-27-22-43-58.jpg
 
Leo sare au mnaotewa kimoko,

Ile game ya kwanza madogo ndio walicheza ,

Gafla papatupapatu, mkapata eti magoli

Leo mkisare, next game mnaenda mestalla , mnaenda kuzikwa na kuelekea futuhi ,kwenye epl mtamaliza nafas ya 8
 
Hata shuti ON TARGET MOJA mmeshindwa kupiga,

Narudia kusema ile game ya kwanza mlicheza ovyo sana, madogo walitawala mpira, cha ajabu mkashinda magoli 3.

Leo na uhakika mnasare, labda itokee papatupapatu tena

Ila mnasare au mnazabukiwa kimoko

Then next game mnaenda spain mnaenda mnapigwa ,mnakuwa sawa point na valencia, wewe unaelekea FUTUHI ,


Naenda kulala nikiamka baadae nataraji kukuta matokeo NEGATIVE , mkishinda basi ni papatupapatu
Screenshot_2018-11-27-23-49-01.jpeg
 
Nyie kila mechi kwenu hivi sasa ni ngumu Manchester United hii haina mechi rahisi tena hata mkicheza na Dynamo ya Shelisheli mechi itakuwa ngumu kwenu tu tatizo mnavichwa vigumu vya kuelewa tu.
 
Leo sare au mnaotewa kimoko,

Ile game ya kwanza madogo ndio walicheza ,

Gafla papatupapatu, mkapata eti magoli

Leo mkisare, next game mnaenda mestalla , mnaenda kuzikwa na kuelekea futuhi ,kwenye epl mtamaliza nafas ya 8
Ile game ya kwanza madogo walicheza? Kwani man u hawakucheza?
 
Hata shuti ON TARGET MOJA mmeshindwa kupiga,

Narudia kusema ile game ya kwanza mlicheza ovyo sana, madogo walitawala mpira, cha ajabu mkashinda magoli 3.

Leo na uhakika mnasare, labda itokee papatupapatu tena

Ila mnasare au mnazabukiwa kimoko

Then next game mnaenda spain mnaenda mnapigwa ,mnakuwa sawa point na valencia, wewe unaelekea FUTUHI ,


Naenda kulala nikiamka baadae nataraji kukuta matokeo NEGATIVE , mkishinda basi ni papatupapatuView attachment 948595
mashabki wa asenali bhna......ss tukija futuhi si utakosa ubingw@?
 
Man U timu ya kifala na kingese sana. Arsenal itawanyia hata 10 shenz nyie. Mpira gan mnacheza? Yan hii mechi yenu ingetakiwa isioneshwe hata kwenye Tv. Tupewe tu final results
 
Back
Top Bottom