Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utumbo huu wa leo hana nafasi anaharibu morali ya players hapa kidogo nimeshangaa yani fred anasugua? Hata sanchez hawez kusubir kwa lingard pamoja na ubovu wake
José ni wakufukuza tu,dakika chache alizocheza Sanchez ameonyesha ni kwanini hatakiwi kukaa bench.

Matic amechuja ila anaanza kwakuwa kocha anapenda wachezai warefu.
 
José ni wakufukuza tu,dakika chache alizocheza Sanchez ameonyesha ni kwanini hatakiwi kukaa bench.

Matic amechuja ila anaanza kwakuwa kocha anapenda wachezai warefu.
Kama ulimuona sanchez ilibidi ashuke chini kutafuta mipira hii ina maana kwamba hamna viungo waliokuwa wanalisha washambuliaji tuna bonge la timu sijui huyu kocha anachemka wapi
 
CP wamepambana ya ela yote

vs Arsenal draw
vs Chelsea lose
vs Man United draw.

Hiyo ni ratio nzuri sana ..

#tabuikopalepale #kwaniUnateseka?
 
José ni wakufukuza tu,dakika chache alizocheza Sanchez ameonyesha ni kwanini hatakiwi kukaa bench.

Matic amechuja ila anaanza kwakuwa kocha anapenda wachezai warefu.
Kama uliangalia mechi zilizopita, sanchez hakustahili hata kuwa ktk benchi. Haeleweki. Akiamza anacheza madudu.
 
Inabidi tukubaliane kuwa Mourinho timu imeshamshinda na pia tuna wachezaji wachovu ambao pia mourinho ndo anawapa nafasi zaidi..Dalot anakaaje benchi??..Fred anakaaje bench??
Wakiamza pia mtalaumu kwa nini wameanza.
 
Young

Matic

Pogba

Fellain

Jones

Lingard

Smalling

Jones

Hizu njemba za kutupia sokon mapena

Wengi mtashangaa paul pogba huyu anahitaji viungo wawili wenye kasi
 
Kama ulimuona sanchez ilibidi ashuke chini kutafuta mipira hii ina maana kwamba hamna viungo waliokuwa wanalisha washambuliaji tuna bonge la timu sijui huyu kocha anachemka wapi
Sasa mkuu,kiungo amebaki Fella na Matic unategemea nini? Fred ametulia bench.

Kama ni sub basi mchezaji wa kwanza kutoa alikuwa Matic maana amesababisha hatari nyingi sana kwa uzembe.a
 
Matic kachoka sana na amekuwa mzito hasa lakini Mourinho anaendelea kumtumia kwa sababu nje hana mbadala.
Sasa mkuu,kiungo amebaki Fella na Matic unategemea nini? Fred ametulia bench.

Kama ni sub basi mchezaji wa kwanza kutoa alikuwa Matic maana amesababisha hatari nyingi sana kwa uzembe.a
 
Back
Top Bottom