Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sifa za wachezaji wanaoweza kupata namba kwenye kikosi cha mou ni kwanza uwe na umbo kubwa na pili ukimbie kimbie sana uwanjani. Vingine ni ziada sana.
Sanchez, Mata, Ashley Young, lindelof, Lingad,... hao wote wana maumbo makubwa sio???.. Fikiriaga mara mbili mbili..
 
Kocha amefanya team ishinde kibahati bahati tu kamuingiza Fellaini aje afunge mipira ya kichwa angefunga ungesikia.... "the players fought well and the tactical change was good as Fellaini never back down his fighting spirit ".....Mou sio wa kuwepo united kabisa sijui tunasubiri nini, jana kawadiss kina martial,rashford,lingard na Shaw alafu leo waje wacheze vizuri..... Tunashindwa nini kuchukua kocha mzuri tunashindwa nini kumtoa Mou mapema ili kocha anaekuja ajijue aanze kuangalia target zake.....

Honestly napenda mno aje jardim pia tumvute director Alex Campos wa Lille.... Walifanya kazi wote Monaco na huyo Campos alipita pia Madrid, Monaco alifanya usajili mzuri wa watoto wote wale kina martial, mbappe, Bernardo, kina bakayoko, kina Mandy, akasajili falcao na wengine nadhani tumpe nafasi
 
Kocha amefanya team ishinde kibahati bahati tu kamuingiza Fellaini aje afunge mipira ya kichwa angefunga ungesikia.... "the players fought well and the tactical change was good as Fellaini never back down his fighting spirit ".....Mou sio wa kuwepo united kabisa sijui tunasubiri nini, jana kawadiss kina martial,rashford,lingard na Shaw alafu leo waje wacheze vizuri..... Tunashindwa nini kuchukua kocha mzuri tunashindwa nini kumtoa Mou mapema ili kocha anaekuja ajijue aanze kuangalia target zake.....

Honestly napenda mno aje jardim pia tumvute director Alex Campos wa Lille.... Walifanya kazi wote Monaco na huyo Campos alipita pia Madrid, Monaco alifanya usajili mzuri wa watoto wote wale kina martial, mbappe, Bernardo, kina bakayoko, kina Mandy, akasajili falcao na wengine nadhani tumpe nafasi
Mourinho ndo zake..fellaini angebahatisha goli ungemsikia"Fellaini gives us some stability in the middle and also offer something different in our attack"..kumbe amebahatisha tu kupiga kichwa.
 
Kocha amefanya team ishinde kibahati bahati tu kamuingiza Fellaini aje afunge mipira ya kichwa angefunga ungesikia.... "the players fought well and the tactical change was good as Fellaini never back down his fighting spirit ".....Mou sio wa kuwepo united kabisa sijui tunasubiri nini, jana kawadiss kina martial,rashford,lingard na Shaw alafu leo waje wacheze vizuri..... Tunashindwa nini kuchukua kocha mzuri tunashindwa nini kumtoa Mou mapema ili kocha anaekuja ajijue aanze kuangalia target zake.....

Honestly napenda mno aje jardim pia tumvute director Alex Campos wa Lille.... Walifanya kazi wote Monaco na huyo Campos alipita pia Madrid, Monaco alifanya usajili mzuri wa watoto wote wale kina martial, mbappe, Bernardo, kina bakayoko, kina Mandy, akasajili falcao na wengine nadhani tumpe nafasi
 
Evraa
20181125_070725.jpeg
 
Back
Top Bottom