Lukaku tunamuonea bure hakuna hata mpira mmoja wa maana kapigiwa na pogba au mata au lingard hata rashford ata struggle tu poor perfomance
Viungo wana struggle vibaya sana haijulikani pogba,lingard na mata yupi anaunganisha timuYaani Leo jeshi letu kama kikundi cha wahuni kila mtu anakimbia kimbia Tu
Viungo wana struggle vibaya sana haijulikani pogba,lingard na mata yupi anaunganisha timu
Credit kwa crystal palace kipindi cha kwanza wametengeneza nafasi za maana.
Tatizo kubwa timu yetu inacheza very slow na kukaba hatuwezi kabisaaa. Tukipokwa mpira wachezaji wanaanza kurudi nyuma kwa kukaba nafasi na si mtu mwenye mpira. Nadhani hii lawama zinampasa mwalimu.Yaani Leo jeshi letu kama kikundi cha wahuni kila mtu anakimbia kimbia Tu
Martial na pogba ni kweli wanaisaidia timu lakini kiukweli ndio wanaoiharibu timu.
Kuanzia viburi vyao, uchezaji wao (kwy seriousness wao wanaleta utani na utoto)
Sifikiri kama wanastahili kuwa wachezaji wa Manu, ni vile tu timu haina wachezaji bora kwasasa......coz hawajitumi kwa jasho, kamasi na mate. Wanachukulia poa na usupastaa mwingi. Hata Furgarson mwenyewe wangetibuana.
Toa Matic huyo
Kiajabu au kiwango duni cha timuTunapoteza hii game kiajabu sana.
Ni kweli, anasaidia lakini pia mzaha na utoto mwingi wa usupastaa sehem inayohitaji seriousness, rudia maelezo yangu hapo juu.Mkuu nadhani baada ya pogba kutoka unapona kati panavyoteleza.
hii timu ndio kabla ya New Year itakuwa top 4 utani mwingine mhh
Kiajabu au kiwango duni cha timu
Kwakweli timu hapa hamna.