Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi hii team inataka kuchukua ubingwa au inagombea top four?maana man city anashinda tu liva nae anashinda tu,kwa mwendo huu nadhan mou bado anatengeneza team ya ubingwa,lakin ninamashaka nae maana msimu wa tatu huu bila bila na huwa sio kawaida yake kabsa,na kama anatengeneza mbona ni muda mrefu hivi?coz hata gari huwa alitengenezwi hivi
 
Mpaka sasa magoli tuliyofungwa ni mengi kuliko tiliyofunga kwa tofauti ya goli moja. Sikumbuki hii ilitokea lini kwa game Zaidi ya 10.
 

Hii timu leo mchezaji mbovu kabisa anaonekana ni Matic lakini kocha anatoa mata na lingard anayejituma kila mahali.
Kocha leo kazingua vibaya sana unamtoa pogba unamuingiza sanchez badala ya fred? Lingard si mchezaj wa kuanza unaacha nje sanchez mata anatoka unaingiza fellain du
 

Maajabu sana,Fred yupo bench unamuingiza Sanchez akacheze kama kiungo.

Hivi bado mnataka José aendelee kujenga timu?apewe pesa anunue watu alioshindwa kuwatumia?
Utumbo huu wa leo hana nafasi anaharibu morali ya players hapa kidogo nimeshangaa yani fred anasugua? Hata sanchez hawez kusubir kwa lingard pamoja na ubovu wake
 
Back
Top Bottom