Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Wewe kukuelewesha ni kazi sana. Soma komenti zilizopita utaelewaKwanini mourinho hana choice wakati man u ina pesa kuliko barca na man city?
Man Utd ana hela kuliko City lakini unajua policy ya United kwenye ku spend? Unajua policy ya City kwenye ku spend? Je unajua Sera ya Glazer kwenye matumizi?
Wewe hujawahi kuona familia ya tajiri watoto wanavaa vibaya au wanakula chakula kibaya ukilinganisha na familia ya mtu mwenye pesa ndogo/ya wastani tu?

€...*#_2*} ndiyo atatia adabu