Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Benni
espnuk-20181113-0001.jpeg
 
LvG: "Man Utd who I last coached is a commercial club. Totally different to Bayern. The bosses, like Rummenigge and Hoeness are former players who know what they are talking about. Football is the most important thing, not money like it is at United."
 
LvG: "Man Utd who I last coached is a commercial club. Totally different to Bayern. The bosses, like Rummenigge and Hoeness are former players who know what they are talking about. Football is the most important thing, not money like it is at United."
I think there is something wrong somewhere since Woodward takeover... The team became of more commercials.
 
Acha uongo hata degea hapati namba Madrid usipambe mavi maua
Nimeangalia namba moja moja pale United sijaona anaeshindwa kuingia kikosi cha Madrid.

Madrid wanaonekana wazuri kwasababu ya mfumo mzuri wa kocha.

Unakosa nini pale united ambacho kipo Madrid?

Kila namba una mchezaji mzuri labda kasoro beki wa kulia ila kila kona imesheheni wachezaji kiwango cha dunia.

Hata ubovu wa Sanchez ni mfumo mbaya wa kocha unashindwa kumu'accomodate'.

Lukaku akiwa timu ya taifa anakuwa tofauti na Lukaku wa Old Trafford. Hujagundua hilo?
 
Ma United ni sawa na baba tajiri ambaye watoto wake wanalala njaa.

Kibaya zaidi kila siku uchumi wa team unaripotiwa kuimarika licha ya team kupata poor results, hivyo hakuna kinachoweza kuwashtua wawekezaj wa team hii sababu profit return ni kubwa kwao na ukizangatia matajir wa team hii sio blood fan wa soka bali wao wanachojali ni faida tu.

Hebu jiulize Man U na utajir wake wote inashindwa vipi kuvuta world class players? Mi nilitarajia wachezaj kama Countinho, Suarez, Mo Salah, Harzard etc wote hao wavutwe klabuni, mbona man city kaweza kukusanya mastar.

Tatizo sio kocha bali ni Wamiliki wa team kwa ubahili wao.
 
Mourinho na Genge lake la wahuni naona wanaelelea kutimiza malengo yao ya kuifanya united ionekane kama Derby Country au Ruvu shooting..



Mimi nawacheki tu nabaki kusema hihihiiiiiiiii


Hahaha kosa la Mourinho lipi mkuu? Wacgezaj waliopo wabovu hawaendan na brand ya Man U.

Rashford, Young, etc hawa walitakiwa wawe huko Aston Villa au Burnley na sio Man U, yani pale wachezaj wa maana wachache Degea, Pogba, Fred na Martial wengine wote hamna kitu
 
Back
Top Bottom