Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kushabikia team ni maamuzi tu mkuu acha kuwa brain washed kuwa kuanza kushabikia mpira zamani ndyo kujua mpira
Wengi wa Man City fans huwa either ni MEMKWA (wamejua soka ukubwani) au Wahamiaji kutoka timu nyingine (ambao pia watahama timu ikishuka kiwango)

Ndio maana mimi huwa nawacheeeki.....
 
Ukitaka kuamini kuwa pep ni bonge la kocha mpeleke man u umpe wachezaji anaowataka uone kama hatonyanyasa EPL
 
Ukitaka kuamini kuwa pep ni bonge la kocha mpeleke man u umpe wachezaji anaowataka uone kama hatonyanyasa EPL
Kupewa wa Man U haitawezekana

Ila alikwishapewa akina Kolarov, Ihenacho, Kompany msimu wa kwanza, alifanya nini?

Ameonekana kocha wa maana baada ya kuanza kutumia 90% ya wachezaji alionunua yeye
 
Kwanini utumie wachezaji wabovu ukiwa kwenye mashindano huo ni ujinga
 
Best comment ever
 
Hata wewe ukipewa u kocha lazima utafute watu ulio na uhitaji nao sio kukumbatia vituko kama bailly
Kupewa wa Man U haitawezekana

Ila alikwishapewa akina Kolarov, Ihenacho, Kompany msimu wa kwanza, alifanya nini?

Ameonekana kocha wa maana baada ya kuanza kutumia 90% ya wachezaji alionunua yeye
 
Mkuu kuhusu Zlatan ukimlaumu Mou unamuonea

Unajua Zlatan aliomba mwenyewe kuondoka, tena anasema alimfuata Mou akamwambia baada ya majeruhi niliyoyapata najua siwezi kukupatia kile unachotegemea kutoka kwangu hivyo akaomba aruhusiwe aende USA
 
Zlatan ulikuwa usajili bora sana kwa United (ndani na nje ya uwanja) na angeweza kuwa backup ya Lukaku tatizo ni alivyopata majeruhi na umri wake hata yeye mwenyewe alihisi anaweza asicheze tena ligi ya mikikimikiki ndio maana alienda US.Zlatan na Mourinho ni washkaji na kila kwenye interview Zlatan anamsifia Mourinho na hizi story za kina Pogba/Martial kugombana na kocha zisingeweza kutokea kama Zlatan angekuwepo
Kama unataka kushindana na Chelsea,Liverpool,Spurs,City huwezi kumtegemea DM kama McTomey kupambana na kina Fernandinho,Kante,Jorginho,Dembele,Dier na kibaya zaidi timu haiko kwenye kiwango kizuri dogo achemsha mechi moja mashabiki wangepiga kelele
 
Kuhusu suala la Mc Tomenay hawezi kuwa tegemeo pale Man U nakumbuka hata Van Gaal alikuwa akilaumiwa sana na hawa jobless wa man u kuwa anawapa wavulana kazi zinazotakiwa kufanywa na wanaume.

Ukweli ni kwamba wachezaji wa Man u wameyaamini magazeti kuwa hawana uwezo mkubwa kiasi cha kupoteza confidence.
 
So tusipopata nafasi ya kucheza UEFA next season una uhakika kuwa Mourinho atafurushwa pale OT??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…