Kwa rashford naunga mkono hojaTatizo la man u hamna wachezaji wenye hadhi ya kuwa hapo alafu pia tatizo lingine mashabiki nyie mna akili za zima moto ukimkuta mtu ana mpamba rashford utasema bonge la mchezaji kumbe hamfikii hata samagoal
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
