kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Kwani wewe ulizuiwa na nani kusajiri?
Hahaha apewe lingard na damian uone hata kama nafas ya 3 atashika
Hahaha apewe lingard na damian uone hata kama nafas ya 3 atashika
Sera ya timu yetu haziruhusu kununua timu nzimaKwani wewe ulizuiwa na nani kusajiri?
Hahaha apewe lingard na damian uone hata kama nafas ya 3 atashika
Mourinho effect au hukuelewa hapo juuAlafu lingard uyu uyu last season mlikuwa mnasema ni better than messi alivyokuwa anafunga au ni mwingine
Sera ya timu yetu haziruhusu kununua timu nzima
Kipofu kaona njia full kelele wenzio tumeona toka zamaniBasi tulieni na Sera sisi tuwadunde na kubeba ubingwa
Mourinho effect au hukuelewa hapo juu
Huyo sijui sama goli si aende hata wartfordTatizo la man u hamna wachezaji wenye hadhi ya kuwa hapo alafu pia tatizo lingine mashabiki nyie mna akili za zima moto ukimkuta mtu ana mpamba rashford utasema bonge la mchezaji kumbe hamfikii hata samagoal
Huyo sijui sama goli si aende hata wartford
Hahaha ulitunguliwa 3 ulijua umepigwa na madrid?Mda wake ukifika ataenda tu punguzeni kelele man u ni team kama wolves tu
Hahaha ulitunguliwa 3 ulijua umepigwa na madrid?
Hata msimu ulioisha story si ilikuwa hivyo kama alishindwa kubeba ndoo na buyern ile utaweza wewe?Msimu huu makombe yote tunachukua
Hata msimu ulioisha story si ilikuwa hivyo kama alishindwa kubeba ndoo na buyern ile utaweza wewe?
Mwenzio mourinho kabeba na inter + porto
Tayar alishafanya na vilabu vya hovyo sanaAkashindwa na Madrid ile na man u hii
Jaman man people.hivi combination ya rojo lindelof bailly may be na young.
Si backline itatulia kidgo jaman?
Daa we jamaa una maneno,kama slowslow wa lumumbaLabda mje na yanga mmumununue yondani
Daa we jamaa una maneno,kama slowslow wa lumumba
Bora tena akilimali siyo wale wazee wa buku 7.Na mourinho ana maneno kama polepole + mzee akili mali