Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Saudi Arabia's ruling Salmans – who are said to be worth £850bn – are reportedly interested in buying the football giants Manchester United from existing American owners the Glazers. According to reports from the Middle East the price would be around £4bn. [daily star]
 
£375,000-a-week deal DE Gea , apewe apendacho kwakweli
Itakuwa timu ya wapiga pesa maana kupata mchezaj mkali ataangalia salary ya de gea na sanchez kisha anataja wa kwake itasumbua sana club wameshindwa kuzibiti mishahara ya watu mtu kama lingard anakula mia na kitu
 
Saudi Arabia's ruling Salmans – who are said to be worth £850bn – are reportedly interested in buying the football giants Manchester United from existing American owners the Glazers. According to reports from the Middle East the price would be around £4bn. [daily star]
Bora glazers watingishwe
FB_IMG_1539617485172.jpeg
 
hivi inawezekana kweli kwa shinikizo la mashabiki waarabu wakapewa timu?

naomba kujuzwa ikiwezekana kwa mifano hai.
 
Hao waaarabu wana hela mfano hakuna. Thaman ya klabu ya man u haifikii pesa walizo nazoo hao jamaaa. Nia yao washindane na waarabu wa city. Jamaaa wana pesaa bhana.
 
Hivi sisi tuna wachezaj wa kuingia ktk kikosi cha madrid bila shida?
Nimeangalia namba moja moja pale United sijaona anaeshindwa kuingia kikosi cha Madrid.

Madrid wanaonekana wazuri kwasababu ya mfumo mzuri wa kocha.

Unakosa nini pale united ambacho kipo Madrid?

Kila namba una mchezaji mzuri labda kasoro beki wa kulia ila kila kona imesheheni wachezaji kiwango cha dunia.

Hata ubovu wa Sanchez ni mfumo mbaya wa kocha unashindwa kumu'accomodate'.

Lukaku akiwa timu ya taifa anakuwa tofauti na Lukaku wa Old Trafford. Hujagundua hilo?
 
Saudi Arabia's ruling Salmans – who are said to be worth £850bn – are reportedly interested in buying the football giants Manchester United from existing American owners the Glazers. According to reports from the Middle East the price would be around £4bn. [daily star]
Nimeisoma jana hii.

Natamani iwe kweli.
 
David de Gea for Spain since the start of the 2018 World Cup:

Saves: 7
Goals Conceded: 10

Full player statistics
 
Mimi kama shabiki wa timu ya taifa ya Spain

De Gea Hana hadhi ya kucheza timu ya taifa tena. Kepa apewe nafasi. Kwanza Accurate long ball, ball control, saves, throws yupo juu.
 
Mimi kama shabiki wa timu ya taifa ya Spain

De Gea Hana hadhi ya kucheza timu ya taifa tena. Kepa apewe nafasi. Kwanza Accurate long ball, ball control, saves, throws yupo juu.

Chelshit-Fanboys Bhana! Wamekuwa Mabingwa Wa Kujaza Useless stats humu Mitandaoni.

Kwanza Huyo Kepa wenu ajitahidi Angalau Afikie Level za Kina Lloris, Alisson na Courtois ndiyo umlinganishe na Top Golie David Degea.
 
Kinachoangaliwa ni level au uwezo wa mchezaji??? Huyo Alison kafanya nn ambacho unadhani anamzidi Keppa
Chelshit-Fanboys Bhana! Wamekuwa Mabingwa Wa Kujaza Useless states humu Mitandaoni.

Kwanza Huyo Kepa wenu ajitahidi Angalau Afikie Level za Kina Lloris, Alisson na Courtois ndiyo umlinganishe na Top Golie David Degea.
 
Level ipi unaisema. Unaongea pumba kweli. Hebu niletee statistics za mmoja mmoja hapo. Underrated Goalkeeper Kepa a
Chelshit-Fanboys Bhana! Wamekuwa Mabingwa Wa Kujaza Useless states humu Mitandaoni.

Kwanza Huyo Kepa wenu ajitahidi Angalau Afikie Level za Kina Lloris, Alisson na Courtois ndiyo umlinganishe na Top Golie David Degea.

nafanya makubwa lakini hakuna anaesifu mpaka afanye de Gea
 
Back
Top Bottom