Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mna UCL tatu tu kijana.

Halafu Brand miaka michache tu mjomba, Akidominate Ulaya basi kazi kwisha maana wanakua wakifisha brand yenu.Kwa jinsi Pep anavyojua kusajili mwakani au mwaka keshokutwa atakuwa ameshaestablish dominance kama ya Juventus kule serie A

We kazania Brand wakati Liverpool ana UCL kuliko nyinyi lakini hiyo Brand yake wanaijua wachache au inakaribia kufa sasa hivi

Acha kufananisha Liver na vitu vya kijinga! Enzi za Man U Vs Arsenal zilishapitwa na wakati.

Huu ni wakati wa Liver & Man city
 
Mna UCL tatu tu kijana.

Halafu Brand miaka michache tu mjomba, Akidominate Ulaya basi kazi kwisha maana wanakua wakifisha brand yenu.Kwa jinsi Pep anavyojua kusajili mwakani au mwaka keshokutwa atakuwa ameshaestablish dominance kama ya Juventus kule serie A

We kazania Brand wakati Liverpool ana UCL kuliko nyinyi lakini hiyo Brand yake wanaijua wachache au inakaribia kufa sasa hivi
unaifananisha Juve Na City Ama Kweli We Ni Daah Acha Nikae Kimya Tu
 
Na hapo kwenye 5+ ndo tofauti na timu zetu ilipo, sisi unapata 2 - 1, 1 bila kwa taabu huku jamaa anavibutua.

Ana makosa machache sana golini ukilinganisha na timu zingine.

Atasumbua sana, naona kaandaa kikosi cha kupambana hadi UEFA, hataki kurudia makosa ya mwaka jana.
Atasumbua ELP tuu, lakini EUFA hana chake mkuu
 
Apewe mapumziko ya lazima .akapunguze huo mwili. Maanakanenepeana kama mdudu kuku yule anakaa aridhini ana mafuta sana. Lukaku mm mwenyewe nikicheza namba yake nita mshinda. Kabisa
Jamaa kajinenepea sana, shingo kama paja.. Nadhani ssa anakaribia 120 maana alikuja na 104[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Herrera,Matic,Lingard walikuwa mzigo sana Rashford alikuwa isolated akawa anakimbia bila msaada
Rashford na martial siwezi kuwasema hawa ukiwaangalia soka la kuzuia hawaliwezi hata mourinho afanyaje panatakiwa wapatiwe wat7 wa maana waachwe huru sio kuwarudisha nyuma kukaba muangalie rashford body language yake utagundua hafurahii huu mpango
 
Hapana Mkuu Hawajakosea pahali! Bali **** Marefa Kama Kina Howard Webb wameshastaafu! Hapo ndiyo shida ilipoanzia If only you know what I mean.
Man U iliishia pale, zile enzi za Rooney anafunga, vidic anashangilia na Web anashangilia naona ndo ziliwavimbisha kichwa, saiz sampuli hiyo ilisha shushwa jumla jumla 😂
 
Rekodi za mechi 300 za mwanzo za ligi kuu Uingereza:
[emoji3514]Jose Mourinho: Ushindi: 189
[emoji3581]Alex Ferguson: Ushindi: 183
[emoji3581]Arsene Wenger: Ushindi: 180
[emoji3581]Raphael Benitez: Ushindi: 155
[emoji3581]David Moyes: Ushindi 122

Baada ya kipigo kwa Man City, Mourinho anatimiza idadi ya magoli 230 ya kufungwa idadi ndogo kuliko kocha yeyote katika mechi 300 za awali
:
Vilabu vilivyofungwa na Jose Mourinho mara nyingi
[emoji736]Everton 10
[emoji736]Liverpool 9
[emoji736]West Ham 9
[emoji736]Crystal Palace 9

Wachezaji waliofunga mabao mengi chini ya ukufunzi wake Mourinho:
[emoji838]Chelsea: Frank Lampard 49
[emoji837]Man United: Romelu Lukaku 20
[emoji3585]Mchezaji mdogo zaidi kufunga chini ya utawala wake EPL ni Antony Martial 19
:
[emoji2402]Wachezaji waliotoa pasi nyingi za magoli chini ya utawala wake Man United:
[emoji2402]Paul Pogba 17
[emoji2402]Martial 11 :
[emoji924]Nahodha wa zamani wa England John Terry, amefunga magoli 15 kwa Chelsea akiwa chini ya Kocha Jose Mourinho kuliko beki yoyote.
 
[emoji116] [emoji116]
Screenshot_20181110-111848.jpg
 
Offering players like Young and Valencia new contracts tells us everything about where we’re at. City never offered Yaya Toure a new contract, Liverpool didn’t offer Gerrard a new contract, Chelsea didn’t offer John Terry one. We’re stuck offering bang average players contracts.
 
H
Offering players like Young and Valencia new contracts tells us everything about where we’re at. City never offered Yaya Toure a new contract, Liverpool didn’t offer Gerrard a new contract, Chelsea didn’t offer John Terry one. We’re stuck offering bang average players contracts.

Hahahah subiri dawa iwaingie
 
Back
Top Bottom