AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Mna UCL tatu tu kijana.
Halafu Brand miaka michache tu mjomba, Akidominate Ulaya basi kazi kwisha maana wanakua wakifisha brand yenu.Kwa jinsi Pep anavyojua kusajili mwakani au mwaka keshokutwa atakuwa ameshaestablish dominance kama ya Juventus kule serie A
We kazania Brand wakati Liverpool ana UCL kuliko nyinyi lakini hiyo Brand yake wanaijua wachache au inakaribia kufa sasa hivi
Acha kufananisha Liver na vitu vya kijinga! Enzi za Man U Vs Arsenal zilishapitwa na wakati.
Huu ni wakati wa Liver & Man city


Jose Mourinho: Ushindi: 189
Alex Ferguson: Ushindi: 183
Everton 10
Chelsea: Frank Lampard 49
Man United: Romelu Lukaku 20
Mchezaji mdogo zaidi kufunga chini ya utawala wake EPL ni Antony Martial 19
Wachezaji waliotoa pasi nyingi za magoli chini ya utawala wake Man United:
Nahodha wa zamani wa England John Terry, amefunga magoli 15 kwa Chelsea akiwa chini ya Kocha Jose Mourinho kuliko beki yoyote.