Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haka katabia wamekaanzisha msimu huu, hata jana niliona timu ikifanikiwa kwenda mbele wanajaa kama nyuki.

Sasa ile game ya Liverpool karibia wote walikuwa wakabaji, hata mbele hawajaenda sana.

Sterling alikuwa akijaribu kwenda mbele anakwama, inabidi arudi nyuma.

Msimu huu wana approach ya 50 50 kukaba na kushambulia, ndiyo maana hata kufungwa wamefungwa magoli machache zaidi.
 
Sasa ile game ya Liverpool karibia wote walikuwa wakabaji, hata mbele hawajaenda sana.

Sterling alikuwa akijaribu kwenda mbele anakwama, inabidi arudi nyuma.

Msimu huu wana approach ya 50 50 kukaba na kushambulia, ndiyo maana hata kufungwa wamefungwa magoli machache zaidi.
Kweli kabisa kaka, zile wings zao nazo unakuta zinakaba man to man... Bado viungo wao
 
Huu msimu ni kazi sana kuwafunga hawa jamaa, uwezekano wa kuchukua ubingwa wanao mkubwa.

Wana makosa machache mbele ya goli, wana kiungo nzuri, beki nzuri, wametimia sana.
Naona huu msimu ndipo wamejizatiti haswa maana wanakaba tofaut na msimu uliopita. Watatusmbua sana hawa... Watakutana na hawa madogo wanawapiga 5+
 
Naona huu msimu ndipo wamejizatiti haswa maana wanakaba tofaut na msimu uliopita. Watatusmbua sana hawa... Watakutana na hawa madogo wanawapiga 5+

Na hapo kwenye 5+ ndo tofauti na timu zetu ilipo, sisi unapata 2 - 1, 1 bila kwa taabu huku jamaa anavibutua.

Ana makosa machache sana golini ukilinganisha na timu zingine.

Atasumbua sana, naona kaandaa kikosi cha kupambana hadi UEFA, hataki kurudia makosa ya mwaka jana.
 
Na hapo kwenye 5+ ndo tofauti na timu zetu ilipo, sisi unapata 2 - 1, 1 bila kwa taabu huku jamaa anavibutua.

Ana makosa machache sana golini ukilinganisha na timu zingine.

Atasumbua sana, naona kaandaa kikosi cha kupambana hadi UEFA, hataki kurudia makosa ya mwaka jana.
Anaweza akatambaa UEFA na EPL hadi mwisho mkuu, UEFA ya sasa hivi haina changamoto sana maana ukicheki zile big FIVE hazipo vizuri sana compared to pase ya City. So chance ni kubwa ya kufanya maajabu.

Labda apigwe kimbunga atoke relini, ila yupo vizuri jamaa.
 
Anaweza akatambaa UEFA na EPL hadi mwisho mkuu, UEFA ya sasa hivi haina changamoto sana maana ukicheki zile big FIVE hazipo vizuri sana compared to pase ya City. So chance ni kubwa ya kufanya maajabu.

Labda apigwe kimbunga atoke relini, ila yupo vizuri jamaa.

Ni kweli, ukiangalia timu zilizoko UEFA mpaka sasa City inaonekana ni moja ya timu bora, sijawaangalia Dortmund msimu huu, ila Barca wanategemea maajabu ya Messi, Madrid siwaoni, Juve kwa kiasi naye bado sijamwelewa sana.

Namwona City akisumbua UEFA, labda bahati iwakatae, ila kikosi anacho sana.
 
Back
Top Bottom