jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Ilkuwa kijembe lolWako 10....Nahodha wao Vincent Kompany katolewa nje dakika za mwanzo za 1st Half...
Ilkuwa kijembe lolWako 10....Nahodha wao Vincent Kompany katolewa nje dakika za mwanzo za 1st Half...
Welbek nje kiungo Anderson in, naona fergusiona ameona aulinde hayo hilo goli moja.
Huyu Refa anachemka sasa.......
Man U wameamua kukep the ball na kugongeana pasi tu ili kupast time.
Naona Hagreaves anataka kuingia for Man C, for Samri Nasri,huyu alikuwa Man U before akawa nje for injuriies for quit sometimes.
Dah.........Man Utd wamekoswakoswa
Man City wamecheza mpira mzuri sana 2nd Half......Sema Refa hakuwa upande wao,kawaminya sana Man City...Dakika za nyongeza 3 tu? fujo zote zile zilizotokea?
City wamepoteza nafasi.
Mbona ameonekana ameuzuia mpira kwa mkono wake wa kulia?????
Kashika bana...Hata kwenye Replay wameonesha Phil Jones kazuia mpira kwa mkono....
Man City wanashambulia utadhani wapo 11 uwanjani....
Mpira umeisha wakuu vipi meonaje leo powa kabsa au??