Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Yap nimeona.....Ulitaka aseme Man wamebebwa ili alimwe fine na kufungiwa?(Udikteta wa FA)......Haya mkuu nikusahihishe umeona mahojiano ya Mancini kuhusu hii Red Card umeona wamemuuliza amejibu nini??sisi wa mtaani ndio tunasema Red Card fatilia alafu tuambie amesemaje walivyomuuliza kuhusu hiyo Red Card
All in all hongereni kwa ushindi...Na vipi kuhusu Handball ya Phil Jones dakika ya 82?