Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man U wanau chungu wa kulipiza kile kibano cha goli 6...

Hapo ni endapo refa hataaamua kumtoa mchezo wa Man U ili asawazishe ujinga wa kumtoa Kompany.

Wachezaji kadhaa wa Man U wana yellows.
 
Wayne-Rooney-Manchester-City-vs-Manchester-Un_2699808.jpg
 
Roberto Mancini genius na ana utajiri wa talented players, ni namna tu ya kuzichanga , sasa gem ndo litakuwa tamu...

Hadi sasa Man C 1-Man U 3
 
Man U wanau chungu wa kulipiza kile kibano cha goli 6...

Hapo ni endapo refa hataaamua kumtoa mchezo wa Man U ili asawazishe ujinga wa kumtoa Kompany.

Wachezaji kadhaa wa Man U wana yellows.

Carrick anatembeza buti kinoma refa kauchuna tu.
 
Kazi ya Scholes mnaiona khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
So far mechi imebadilika ila lazima goli lipatikane lingine
 
Back
Top Bottom