Kipa mnaye khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mfarisayo usikimbie bana ... .... ..
Man U wanau chungu wa kulipiza kile kibano cha goli 6...
Hapo ni endapo refa hataaamua kumtoa mchezo wa Man U ili asawazishe ujinga wa kumtoa Kompany.
Wachezaji kadhaa wa Man U wana yellows.
Kafunga bana....Aguero ***** sana, kuna mtu alikuwa open kulia yeye anataka kwenda nao tu.
Bado tena kam foul Nasri laikini wapi.Carrick anatembeza buti kinoma refa kauchuna tu.