Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,449
- 9,739
PovuUnatakaje
Unapapaswa nn?
PovuUnatakaje
Unapapaswa nn?
Kweli mkuu smalling hakui kiwango ukiangalia leo mipira ya juu fellain katusaidia sana kuokoaMwenzake ndio anamfanya asionekane bora.
Huu ni mwanzo tu. Hawataishia kubaki kwenye thread zao tu watahama kabisa jukwaa wahamie kule MMU
Ngumu sana kuhama thread kisa unafungwa? Nani asie fungwa? Barca nyumban leo kala chuma nne toka kwa betis mpira upo hivyoHuu ni mwanzo tu. Hawataishia kubaki kwenye thread zao tu watahama kabisa jukwaa wahamie kule MMU
Sterling assist gani umeona aisee pole mdau usitolee mfano wa barca huo s ushabk ni ushangiliaj sem ni moja ya matokeoNgumu sana kuhama thread kisa unafungwa? Nani asie fungwa? Barca nyumban leo kala chuma nne toka kwa betis mpira upo hivyo
Lakini nyie ci huwa mna come back na kushinda?!Ngumu sana kuhama thread kisa unafungwa? Nani asie fungwa? Barca nyumban leo kala chuma nne toka kwa betis mpira upo hivyo
Ndugu umechanganyikiwa? Sterling assist??? We jamaa utakiwa na tatizo mahali rudi upya kusoma ulichopost na ulichoni qoute hata sijui unawashwawashwa na nini?Sterling assist gani umeona aisee pole mdau usitolee mfano wa barca huo s ushabk ni ushangiliaj sem ni moja ya matokeo
Leo imegoma kam bak mkuuLakini nyie ci huwa mna come back na kushinda?!
Mourihno leo ajatega sikio??
Kapapaswa mourihno uko...Unatakaje
Unapapaswa nn?
Hivi ushacheza na city?Kapapaswa mourihno uko...
Amber Ruty United....
Kma shabiki usiruhusu kutoa tus mwilin mwako sterling bao la kwanza via silva score nisharudia m natazang hat Watford na Burnley acha kuchrk gemu zako tuNdugu umechanganyikiwa? Sterling assist??? We jamaa utakiwa na tatizo mahali rudi upya kusoma ulichopost na ulichoni qoute hata sijui unawashwawashwa na nini?
Hahaha kwa kweli ...em tupe maoni yako, kocha wetu mpendwa mwenye mbwe mbwe nyingi "Jose Mourihno" ..bado anafaa kuifunza klabu kubwa yenye hadhi kama Manchester United??Leo imegoma kam bak mkuu
Mpira unaangalia kichina nini? Benardo silva kisha kafunga david silva huyo benardo silva katoa assist mbili mahrez moja nahisi haupo sawaKma shabiki usiruhusu kutoa tus mwilin mwako sterling bao la kwanza via silva score nisharudia m natazang hat Watford na Burnley acha kuchrk gemu zako tu
Yan uyo wala asikupe tabu, mimi nitamkalisha kwa niaba yako ..maana wewe na Yule Klopp mumeshindwa kabisa. Hivyo iyo kazi tumuachie Sarri; ni ndogo sana ataimudu.!Hivi ushacheza na city?
Hapa ndipo mashabiki wa chelsea na kocha wao alieshangilia droo ya dakika ya 96 mnapofeli anawaambia 3 bila yeye wewe ni sawa na sunderland onesha heshimaHahaha kwa kweli ...em tupe maoni yako, kocha wetu mpendwa mwenye mbwe mbwe nyingi "Jose Mourihno" ..bado anafaa kuifunza klabu kubwa yenye hadhi kama Manchester United??
Nimeuliza swali unaleta khabari zingine.Hapa ndipo mashabiki wa chelsea na kocha wao alieshangilia droo ya dakika ya 96 mnapofeli anawaambia 3 bila yeye wewe ni sawa na sunderland onesha heshima
Tuwe wa kweli wakuu,Man u bado hatuna kikosi cha kupambana na timu kama Man city.
Man city wanafanya huwekezaji mkubwa sisi bado tunakomaa na Young,Herera,Smaling yani ni vichekesho.
Hata Mourinho akae miaka 10 pale old Trafford,bila kufanya uwekezaji mkubwa bado tutaangaika sana kupambana na city.
Gundogan,Sane wanaanzia bench akati hao wangekua kwetu lazima wangeaza.
Wachezaji wa Man u ambao watapata namba pale city ni Pogba na De gea basi.