Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahahah Hawa mbuzi hawa nlishawaambia tangu jana
Screenshot_20181111-212424.jpeg
 
Licha ya haya ila ukweli unabaki Manu ni kubwa mara mia ya Mancity. Kuifikia historia ya Manu, mancity wanahitaji karne nzima sasa sijui mpaka hapo Manu watakuwa wamekaa tu. Kwa sasa ni kelele tu za majirani, msimu wao ila jiji la Manchester ni jekundu, anayetaka kubisha abishe ila ndio ukweli.
 
Defence ilikuwa poa leo tatizo nimeliona k2a kocha huwez kupanga viungo vile hadi unajiuliza lingard mbele ya fred? Pogba hayupp fred anakaaje bench?
Amgepangwa fred pia ungekuja na sababu nyingine.
Tukubali kuwa Manu sio peke yake yenye haki ya kushinda na kuchukua vikombe, mambo hubadilika.
 
Licha ya haya ila ukweli unabaki Manu ni kubwa mara mia ya Mancity. Kuifikia historia ya Manu, mancity wanahitaji karne nzima sasa sijui mpaka hapo Manu watakuwa wamekaa tu. Kwa sasa ni kelele tu za majirani, msimu wao ila jiji la Manchester ni jekundu, anayetaka kubisha abishe ila ndio ukweli.
Nilidhani tunajadili mechi ya leo kumbe unazungumzia historia. Yes Manure iko juu ...
 
Back
Top Bottom