radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Uwe unakuja sasa tukishinda sio unavizia vizia hujiaminiNdio raha yenyewe ya mpira hiyo
Uwe unakuja sasa tukishinda sio unavizia vizia hujiaminiNdio raha yenyewe ya mpira hiyo
Unaujua wewe shwainPovu la nini mkuu, ulisha pakatwa, mpira haujui kuwa mpole tu
Nikweli mkuu wanalaumu bila kuangalia wamepigwa na naniila kwa man city hii usijilaumu saana


I bet u would say otherwise if the results go our wayNo pogba no party
Mapenzi upofuMahaba niue
Hahaha id mpya naona umekija kivingine ile ya zamani umeificha inabidi nikuache kwa kuwa umejifichaMbona mlivoshinda kwa Juve hamkumsema Mou vibaya, mlikua wapi wakat Mou anampiga juve... Haters bwana
Furaha yangu ni Manure ikifungwaUwe unakuja sasa tukishinda sio unavizia vizia hujiamini
. Vinginevyo Sina uhusiano nayo.Point mkuuI bet u would say otherwise if the results go our way
Its part of the game, leo tumefungwa tujipange kwa ajili ya game ijayo
Isitoshe it was a very busy week, Bournemouth away, Juve away and then The Citizen away
Unamfikia sasaFuraha yangu ni Manure ikifungwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
. Vinginevyo Sina uhusiano nayo.
Povu la nini mkuu, ulisha pakatwa, mpira haujui kuwa mpole tu



Daaah!Mkuu huyo kaja na id mpya mpotezee jadili na member wakongwe huyo kajificha unapoteza muda.Unaujua wewe shwain
Defense UNITED ilikuwa ya kiboya sana leo.
Tangu Ferguson aondoke mna Bet to Makocha. Hayo mafanikio yenu yanaweza yasipatikane tena kwa kipindi kirefu....siku hizi mnabebwa tu na Brand name ya Man u. Lakini as a team it is as good as FulhamUnamfikia sasa
Licha ya haya ila ukweli unabaki Manu ni kubwa mara mia ya Mancity. Kuifikia historia ya Manu, mancity wanahitaji karne nzima sasa sijui mpaka hapo Manu watakuwa wamekaa tu. Kwa sasa ni kelele tu za majirani, msimu wao ila jiji la Manchester ni jekundu, anayetaka kubisha abishe ila ndio ukweli.
Ni kweli unachoongea quality ya wachezaj si nzur hapa sikubishiiTangu Ferguson aondoke mna Bet to Makocha. Hayo mafanikio yenu yanaweza yasipatikane tena kwa kipindi kirefu....siku hizi mnabebwa tu na Brand name ya Man u. Lakini as a team it is as good as Fulham