Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usilaumu beki mkubwa, naweza kusema hamna timu inayotengeneza chance za magoli kuliko Manchester city right now Ulaya kama sio duniani. Wale huwezi kuwazuia wasicreate chance hata siku moja

Nimetizama mchezo beki ilipwaya,

Tizama goal la kwanza na la tatu.

Man City ni team nzuri ila team yetu inaonyesha udhaifu mkubwa Mno! Hii haiwezi kuwa UNITED nimekuwa niitizama miaka yote.
 
Nimetizama mchezo beki ilipwaya,

Tizama goal la kwanza na la tatu.

Man City ni team nzuri ila team yetu inaonyesha udhaifu mkubwa Mno! Hii haiwezi kuwa UNITED nimekuwa niitizama miaka yote.


Hilo goli la kwanza uliona jinsi Bernado Silva alivyoicheza ile assist?

When it comes to creativity Manchester city are second to none fellow!

Kwenye postmatch interview moja Conte aliwahi sema kwamba City ni unstoppable sababu ya kumaintain Quality na mentality yao. Pasi na mpira umepigwa kama magic vile huyo beki atafanya nini?
 
Baada ya Red Stars Belgrade kuifunga Liverpool, Man Utd, Arsenal na Chelsea walifanya sherehe kwenye thread ya Liverpool.

Wiki hii nadhani watu watabaki kwenye thread zao.

Poleni wakuu, Man City anawafungaje?
Basi hii shunguli nakuachia wewe ukishindwa ku mchapa hamna tena wa kumfunga
 
Baada ya Red Stars Belgrade kuifunga Liverpool, Man Utd, Arsenal na Chelsea walifanya sherehe kwenye thread ya Liverpool.

Wiki hii nadhani watu watabaki kwenye thread zao.

Poleni wakuu, Man City anawafungaje?
Huu ni mwanzo tu. Hawataishia kubaki kwenye thread zao tu watahama kabisa jukwaa wahamie kule MMU
 
Back
Top Bottom