mkamilaevo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 302
- 441
dakk ya 88
pole mkuu hakuna namna jamaa wanajuaAibu naona mimi
Man u nikama imepoteza mwelekeopole mkuu hakuna namna jamaa wanajua
Yes itawachukua city zaidi ya miaka 15 kufikia level ya united
ila kwa man city hii usijilaumu saanaMan u nikama imepoteza mwelekeo
Imetushindatumelazwaa!!ila kiukweli ni kwamba Man city imetushinda mpira kbsaa!
Jose ni tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.