Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Point yangu ni hii Fred amekuwa garasa sababu ya mou,

Jibu ni B

Nadhani umenielewa
Aisee...can't argue with you anymore,maana huna msimamo

Subirini mkutane na sisi tuwanyooshe tu na magarasa yetu maana ni utaratibu wetu...
 
Aisee...can't argue with you anymore,maana huna msimamo

Subirini mkutane na sisi tuwanyooshe tu na magarasa yetu maana ni utaratibu wetu...
Mpira haupo hivo usikariri ,

Hapa ndipo ninapowashangaa sana watu kama nyie ,kila mech na plan yake, halafu arsenal ina cheza tofaut na ya wenger, hivo subir kwanza tucheze ,

Maana hutaki kikubali ukweli kuwa kocha wako anawafanya wachezaji wawe magarasa ,mfano nimekupa sanchez, fred, na wengineo ambao ni wachezaj wazuri tu,
 
Mpira haupo hivo usikariri ,

Hapa ndipo ninapowashangaa sana watu kama nyie ,kila mech na plan yake, halafu arsenal ina cheza tofaut na ya wenger, hivo subir kwanza tucheze ,

Maana hutaki kikubali ukweli kuwa kocha wako anawafanya wachezaji wawe magarasa ,mfano nimekupa sanchez, fred, na wengineo ambao ni wachezaj wazuri tu,
Ulisema mwenyewe kuwa tumesajili galasa..sasa mbona saivi unabadili gia..sanchez haperform vizuri hilo liko wazi ila hilo tatizo sio la mourinho tu directly...
 
Ulisema mwenyewe kuwa tumesajili galasa..sasa mbona saivi unabadili gia..sanchez haperform vizuri hilo liko wazi ila hilo tatizo sio la mourinho tu directly...
Sasa kama mmesajiri mchezaji akiwa mzuri kaja kwenu anavurunda huyo si ni garasa ? Na mwalimu wenu anahusika directly,ndio maana nahitimisha sanchez ,fred ni magarasa

Ukibisha subir utaniambia kwann hata mou hawaaminin tena
 
Kwa hali hii tutegemee wachezaji kuchanganyikiwa wakija kwetu wanakuwa na hofu tu sijui wakina scholes watasemaje badala ya kuwatia moyo kuna muda kuwa na watu hawa ni kubomoa saikolojia ya wachezaj tu alimuandama pogba hadi mourinho alimzingua akaacha sasa kaanza na lukaku

Sir alex alimsajili owen akitokea kutemwa na newcastle akapeqa jez namba 7 siju kwa nini hakusema hafai???

Screenshot_20181017-214613.jpeg





Nimecheka sana sijui lukaku anajisikiaje?
 
Hao alisajili kwa kushirikiana na bodi ya chelsea ujue bodi ya chelsea huwa inatoa ushirikiano sana ndo mana kukutimua dakika sifur unapata kila utakacho wanaanza kukudai matokeo
Bora hivi ili mtu akose pakusingizia,oooh mara sjapewa hela ya kusajili!
 
Kwa hali hii tutegemee wachezaji kuchanganyikiwa wakija kwetu wanakuwa na hofu tu sijui wakina scholes watasemaje badala ya kuwatia moyo kuna muda kuwa na watu hawa ni kubomoa saikolojia ya wachezaj tu alimuandama pogba hadi mourinho alimzingua akaacha sasa kaanza na lukaku

Sir alex alimsajili owen akitokea kutemwa na newcastle akapeqa jez namba 7 siju kwa nini hakusema hafai???

View attachment 901451




Nimecheka sana sijui lukaku anajisikiaje?
Ukishakuwa pundit sijui unakuwaje Paul Scholes taarabu nyingi sana siku hizi
 
Mpira haupo hivo usikariri ,

Hapa ndipo ninapowashangaa sana watu kama nyie ,kila mech na plan yake, halafu arsenal ina cheza tofaut na ya wenger, hivo subir kwanza tucheze ,

Maana hutaki kikubali ukweli kuwa kocha wako anawafanya wachezaji wawe magarasa ,mfano nimekupa sanchez, fred, na wengineo ambao ni wachezaj wazuri tu,
Aseno ata uweje kwa man united unafungwa tu
 
Shaw, Kitanzini Manchester United.

Beki wa kushoto wa Manchester United na timu ya Taifa ya Uingereza Luke Shaw amesaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaombakisha Old Trafford hadi mwaka 2023, kwa mujibu wa taarifa kutoka Sky Sports.

Beki huyo mwenye umri wa miaka 23 alikuwa anapata mshahara wa kiasi cha £100,000 kwa wiki na sasa atakuwa akipata mshahara wa £195,000 kwa wiki.
 
Hao alisajili kwa kushirikiana na bodi ya chelsea ujue bodi ya chelsea huwa inatoa ushirikiano sana ndo mana kukutimua dakika sifur unapata kila utakacho wanaanza kukudai matokeo
Siyo kweli kwamba bodi ya Chelsea wanampa Mwl kila atakacho. Msimu ulopita tu conte alihitilafiana sana na hiyo bodi juu ya kushindwa kumpa Mwl first target zake. Na kama sikosei msimu ulopita conte hakupata first target yake hata moja
 
Siyo kweli kwamba bodi ya Chelsea wanampa Mwl kila atakacho. Msimu ulopita tu conte alihitilafiana sana na hiyo bodi juu ya kushindwa kumpa Mwl first target zake. Na kama sikosei msimu ulopita conte hakupata first target yake hata moja
Conte aliitibua bodi yeye mwenyewe kwa kuuza wachezaji ambao ni potential kwenye timu hasa matic na diego costa hiki kilimmaliza mwenyewe
 
Back
Top Bottom