Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Walikuwa wote kabla ya FC Porto, inaonekana jamaa ndo ilikuwa Think Tank ya Mou.

Ila leo Man Utd kapiga kazi.
 
Mkuu mm kila siku nasema kocha hana hatia ila sisi tunalazimisha aje kwenye utamaduni kitu ambacho kigum yule ana utamadun wake apewe watu tu
Ila kuna wakati Mou huwa anafanya vituko,sasa leo Scot alimpanga wa nini?

Mata pia sio mtu wa bench, hii game imegeuzwa na mata. Mata ni mchezaji aina ya akina Bernardo Silva, kaangalie Pep anavyomtumia pale city.

Aache ufala wa kugombana na wachezaji,wanaweza kumpa na kimnyima ubora.
 
Kama ni hivyo bora tuseme Manchester United ilicheza mpira mzuri leo. Kucheza vizuri ktk kipindi kimoja kusihesabiwe ni kucheza mechi nzima...
Acha unafki wewe kipindi cha kwanza tumecheza with low intensity,,huyo martial ungemuonea wapi??..Kubali Martial amecheza vizuri leo
 
Hii Post najua mnaikumbuka sasa manaa wanaomkubali Mou ni wachache najua. Kama mliona fans wa united wanamponda Ed kuliko mou na ukweli unaonekana
 
Nilipomuona scott nilijua tutakuwa na shida huyu dogo ni mzur timu ikiwa na bek wa maana bado hana nguv za kupambana
 
Vipindi vyote siri ya ushindi Man U huwa ni kujituma kwa wachezaji.

Hata wakati wa Fergie wachezaji United walikuwa wa aina hii hii, staa mmoja watatu bhasi, wengine walikuwa wa kawaida lakini walikuwa wapambanaji tofauti na sasa.

Hatukuwahi kucheza entertaining footbal japo tulicheza attacking.

Hawa wachezaji wanahitaji motivation ya Mwl na Wanasaikolojia tuu, maana jinsi wanavyoandamwa na media, wanapoteza confidence.
 
Josee Is A Winner Woodward Is A Looser
Hili bango limenichekesha sna mashabik wa hii timu wa ng' ambo wanajua nani mchawi siji kusahau msiku wa kwanza ulipoisha mourinho alimtaka greizman dogo alikuwa tayar ed akawa bize kutafuta mikataba ya kibiashara hadi tukamkosa baadae tukahamia kwa lukaku hovyo sana ed
 
Pogba, Matic na Scot Mc Tominay wamepiga defence Kali. Martial, Mata wamekimiza forward. Wameonyesha kuwa huwa tunafungwa kwa makusudi na kwamba wakiamua wanaweza.
Kipind cha pili pogba nilimuona kabadilika sana ila pamoja na kwamba kocha tunataka abaki mechi ya leo imetuma salam kwa kocha kwamba tunawachezaj sio kupak bus maana wote walifunguka nahisi baada ya kuambiwa tupo hom
 
De gea
DalotRojoSmallingShaw
Fred matic pogba
Lukaku Sanchez Martial

Lukaku ni mzuri atleast akitokea pembeni..hivi hiki kikosi hakiwezi kuwa na potential kwa sasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…