Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ufala mwingine Mourinho anaowafanyia wachezaji nimemsikia Commentator anasema Mourinho kawarudisha wachezaji Uwanjani dakika mbili kabla ya Westham kurudi, Yaani wachezaji wamesimama tu wanazomewa na mashabiki wa Westham

INASIKITISHA SANA.
 
Kila Siku nauliza hili swali lakini sipewi majibu sahihi...

Hivi man united mna malengo gani msimu huu? Yani lengo lenu ni kubeba kombe gani msimu huu?

Halafu hii approacha ya wachezaji kumkataa kocha kwa kuruhusu kufungwa tu ovyo ovyo italeta hathari hasa kwa kitu kama hii.. Izo mambo wanaweza akina Hazard na Luiz tu ..nyie wengine msiige..
 
man u bana eti wanasema bora morinho
angekuwa kwenye ajali ya mv nyerere si
maneno yangu nikiwa kama shabiki wa liverpool
ni maneno ya washabiki wa nyumbu yajayo
yanafurahisha!!😀😀
 
Ili kuonyesha kuna shida man u wachezaji wameamua kuonyesha kwa vitendo uwanjani
Sio de gea wa msimu uliopita
Mastaa wa team hawaperfom kabisa
Na hii ni meseji kwa mourinho kuwa pogba ana nguvu sana Hapo united na anaivuruga team
 
From in Mourinho we trust...mpaka sasa....

Mourinho out

Ni kocha mzuri lakini kwa Man utd ameshafeli,anahangaika sana...in short hana jipya.

Sioni atafanya nini kuinusuru timu...
 
Ufala mwingine Mourinho anaowafanyia wachezaji nimemsikia Commentator anasema Mourinho kawarudisha wachezaji Uwanjani dakika mbili kabla ya Westham kurudi, Yaani wachezaji wamesimama tu wanazomewa na mashabiki wa Westham

INASIKITISHA SANA.
🙁🙁🙁Mi nafikiri Ed
Woodward na
Mwenzie Mourinho
wana makusud ya
dhati kabisa
kuidhalilisha
Manchester United
 
Naongea kwa maumivu makali morinho hana mbinu mbadala za mpira wa miguu man utd na cjui maboss wanasubri nni mpaka waone timu inavoingia Europe yani Daa raha hamna
 
Naongea kwa maumivu makali morinho hana mbinu mbadala za mpira wa miguu man utd na cjui maboss wanasubri nni mpaka waone timu inavoingia Europe yani Daa raha hamna

Pole man, ndo maisha ya ushabiki yalivyo.

Hali ilivyo kwenye banda moja, Westham vs Man Utd.

IMG-20180929-WA0009.jpg
 
Mourinho hopeless na bogus of high degree,,how can you trust victor lindelof over Eric Bailly??
Mkuu, Baily ni boya zaidi. Kwa kuanza na Matic, Tominay, Fela na Pogba, maana yake alitaka kuprotect defence yake. Hivyo, concern yake ni kuepuka kufungwa kuliko anavyowazia kufunga. Lakini attacking sometimes is a good defending option.
 
Back
Top Bottom