Kaka naona urudi arsenal tu kuzuri sasaHaya wale watetezi wa Jose mkuje hapa na utetezi wenye mashiko.
Aisee inasikitisha sana😂😂😂😂😂Bonge la dizasta
Poleni man u
Kuna shida man u tena kubwa mno
🙁🙁🙁Mi nafikiri EdUfala mwingine Mourinho anaowafanyia wachezaji nimemsikia Commentator anasema Mourinho kawarudisha wachezaji Uwanjani dakika mbili kabla ya Westham kurudi, Yaani wachezaji wamesimama tu wanazomewa na mashabiki wa Westham
INASIKITISHA SANA.
tuendelee kupiga mark time huku Spurs wakitupa somoAlisema lakini mapema kwamba msimu huu utakuwa mgumu sana kwa kuwa hakupatiwa mahitaji yake nani fundi kocha au mfanyabiashara?
He's master tactician, the special fraud one. What did you expect?Mourinho hopeless na bogus of high degree,,how can you trust victor lindelof over Eric Bailly??
Jibu zuriWaje kufanya nini?
Utetezi ni mmoja tu, Mou hakupewa wachezaji anaowataka.
Naongea kwa maumivu makali morinho hana mbinu mbadala za mpira wa miguu man utd na cjui maboss wanasubri nni mpaka waone timu inavoingia Europe yani Daa raha hamna
Mkuu, Baily ni boya zaidi. Kwa kuanza na Matic, Tominay, Fela na Pogba, maana yake alitaka kuprotect defence yake. Hivyo, concern yake ni kuepuka kufungwa kuliko anavyowazia kufunga. Lakini attacking sometimes is a good defending option.Mourinho hopeless na bogus of high degree,,how can you trust victor lindelof over Eric Bailly??