Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,170
- 3,019
Hakupewa fungu la usajili........ Na alisema kbsaaa before msimu kuanzahata kama akipewa wachezaji ni yaleyale tu
JAMAN TIMU ISHAMSHINDA AACHIE NGAZI.
POOR MANURE
Hakupewa fungu la usajili........ Na alisema kbsaaa before msimu kuanzahata kama akipewa wachezaji ni yaleyale tu
JAMAN TIMU ISHAMSHINDA AACHIE NGAZI.
POOR MANURE
Msimu wake wa kwanza alipewa pesa nyingi,msimu wa pili pesa nying , bado akashindwa kufanya vizuri,Hakupewa fungu la usajili........ Na alisema kbsaaa before msimu kuanza
Huyu hana lolote. Alishapewa fedha, tena za kufuru, akamnunua Pogba, Lukaku, Lindelof, Sanchez, Baily nk .Wote hao aliwataka yeye, ambao kwa sasa wanaonekana hawafai. Itakuwa ni kupoteza fedha kuendekea kumpa fedha wakati analeta wachezaji ambao anashindwa kuwatumia.Nadhan kocha apewe wachezaj anaowataka.
Jose ameshakaa miaka 3 ndo huwa muda wake anatimuliwa hana jipya, lakini napo Man U hata akija Zidane bado mtapata tabu sana, wachezaji wa kiungo na Beki bado hamna
Valencia hana ushawishi wa kuzungumza na De gea, Sanchez, Pogba au Lukaku nafikiri kuna haja ya man u kutafuta nahodha mpya na sio huyu valencia
Ndio style yake ya kuvuna mkwanja wa kutoshaJose ameshakaa miaka 3 ndo huwa muda wake anatimuliwa hana jipya, lakini napo Man U hata akija Zidane bado mtapata tabu sana, wachezaji wa kiungo na Beki bado hamna
Kaka,,unawezaje sema Bailly ni liability kwa failure za mechi mbili na kusahau the way alivotusuprise na performance nzuri 2 years consecutive??..can you mention out the first eleven of mu fc this season??Mkuu, Baily ni boya zaidi. Kwa kuanza na Matic, Tominay, Fela na Pogba, maana yake alitaka kuprotect defence yake. Hivyo, concern yake ni kuepuka kufungwa kuliko anavyowazia kufunga. Lakini attacking sometimes is a good defending option.
Valencia hana kiwango halafu amfuate pogba matic sanches de gea amuulize mbona huchezi vizuriAcha kuwapa ushauri waendelee kuteseka.
Jamaa kama aliishindwa Madrid ina Alonso, Ramos, Abeloa, Alonso, Ozil, Modric, Ronaldo, Kaka, Benzema nk akaishia kugombana na Casillas hapo ndo nilimuona hajui mpira na akifukuzwa hapo atakuwa kocha wa ligi daraja la kwanzaNdio style yake ya kuvuna mkwanja wa kutosha
Wakimfukuza tu inawatoka pesa nyingi sana
Jamaa kama aliishindwa Madrid ina Alonso, Ramos, Abeloa, Alonso, Ozil, Modric, Ronaldo, Kaka, Benzema nk akaishia kugombana na Casillas hapo ndo nilimuona hajui mpira na akifukuzwa hapo atakuwa kocha wa ligi daraja la kwanza
mourinho anataka yeye awe star badala ya mchezaji Halafu huwa hajistukii na hizo weakness zake za kukorofishana na wachezajiJamaa kama aliishindwa Madrid ina Alonso, Ramos, Abeloa, Alonso, Ozil, Modric, Ronaldo, Kaka, Benzema nk akaishia kugombana na Casillas hapo ndo nilimuona hajui mpira na akifukuzwa hapo atakuwa kocha wa ligi daraja la kwanza
Kaka,,unawezaje sema Bailly ni liability kwa failure za mechi mbili na kusahau the way alivotusuprise na performance nzuri 2 years consecutive??..can you mention out the first eleven of mu fc this season??
Halafu huwa hajistukii na hizo weakness zake za kukorofishana na wachezaji
Hivi tangu Mou amefika MUFC,amewahi kuwa na starting XI?
pole sana mkuu