Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna tatizo mahali, ila hii tabia ya migomo ya wachezaji inabidi ikomeshwe na FA maana wasipoliaddress vizuri itakuja samba kwenye vilabu vingine vikubwa kama Tottenham, Liverpool Mancity , Arsenal etc
 
Hivi ni akili mchezaji kubishana na mwalimu wake
Pogba alikosa nidhamu kumfundisha kazi boss wake
Mwalimu anataka kukaba we unamwambia mshambulie wapi na wapi
Huo ndio mfumo wa mourinho siku zote wakuu
Kumbuka pia mchezaji kashacheza sehemu nyingi. Kwaiyo anaelewa hata asipofundishwa. Maana kashakutana na waalimu wengi na wenye falsafa tofauti
 
Wakuu Leo nlisema saa 6 kuwa nitakuwa Westham basi bhana nikajilipua buku yangu kumpa Westham na Roma.....hahahahahaha maisha haya bhana
 
Katika ya watu waliomvumilia huyu kocha basi ni mimi mmojawapo...ila sasa inabidi aondoke maana body language ya wachezaji kwa kweli haipo..westham kwao wameshinda mechi moja anaenda kuchezesha beki 5 kweli...
Its time now he has to go..
 
Hakupewa fungu la usajili........ Na alisema kbsaaa before msimu kuanza
Man u ina wachezaji Bora Sana Tena wengi Sana. Tatizo lipo kwa kocha. Kwanini anataka anunue ambao tayari waliisha tengenezwa. Asitengeneze wa kwake anao hapo wengi tuu.
Huyu siyo mwalimu mzuri. Hakuzi vipaji anavibomoa hatufai.
 
Mourinho kweli si mzur tunamuangalia zizou ambae alikuwa na timu kwa pale england wachezaj watatu tu wanaweza kuanza ambao ni kante,hazard na de gea kidogo inatisha wakuu.
 
Alafu hata Bayern hawapati matokeo mazuri nakocha wao, ingawa mpya wanaweza mfukuza mwisho wa msimu wakamchukua Zizzou, maana sisi tunajifanya vichwa maji ngoja tupewe dawa
 
hii hali ipo kama ile sinema ya vyeti feki, mwisho wa siku Ed na black suit atatokea na kusema "the board still has a lot of faith in manager and we will support him together till the end of his contract"
 
Naongea kwa maumivu makali morinho hana mbinu mbadala za mpira wa miguu man utd na cjui maboss wanasubri nni mpaka waone timu inavoingia Europe yani Daa raha hamna
Wanasema kuvunjika kwa mkataba wake. Ita cost team pond 12 million. Mm naona bora tu wavunje kuepusha aibu hii
 
Back
Top Bottom