Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,530
- 81,254
Mbuthi kafia kwa muuza thupu
Haya wale watetezi wa Jose mkuje hapa na utetezi wenye mashiko.
Kwa sababu zipiChampionship huenda ikawa na watazamaji wengi kuliko La liga na UEFA next season
strong agree but not under MOFred has not failed at all. He is very smart
subiri utajua tuKwa sababu zipi
HahahChampionship huenda ikawa na watazamaji wengi kuliko La liga na UEFA next season
Sasa mbuzi na malaya wapi na wapi.? Chagua mojaSijui tulijichanganya wapi hadi kuamini huyu mbuzi anaweza kuifundisha Man U.
Malaya wa Kireno wewe.
nyinyi timu yenu inafuata nyayo za ndugu yake ac milan
Jumanne tena Valencia wanatukanyaga tatu nyumbani,tunatulia. Mou anajenga timu.
Labda tuliyapata akiwq van gal na moyes hii timu ya wauza jezi na watangaza faida hawana shida na mpira wako kibiasharaTafsiri ya mafinikio ni nini?
Hii kauli uliitoa kabla au baada ya msimu wa kwanza wa Jose
Au
Umeitoa msimu Mwaka jana na huu
Alisema lakini mapema kwamba msimu huu utakuwa mgumu sana kwa kuwa hakupatiwa mahitaji yake nani fundi kocha au mfanyabiashara?watetezi wa Mourinho mje hapa
Ina maana akija kukorofishana na kocha mwingine hali itakuwa kama hivi? Mi naona wasepe wote tuVijana wanaonesha hawamtaki kocha kabisa... Ed Wood aingie sokoni. Kuna uwezekano kwamba pogba anawafuasi wengi sana ndani