Bora tyshuke aiseeMan U wanashuka daraja
Leo ndo nimeona Manchester kuna tatizo tena kubwa sana na lisipotatuliwa hali itakua mbaya sana wachezaji wamechoka hawana ari tena wanacheza tu ili mradi wakamilishe ratiba inauma sana.
Mou ni tatizo lakini sometimes wachezaji nao wacheze kwa ajili ya heshima ya timu sio mtu.
Nawakumbusha tu Mimi ndio yule mTanzania niliesema
,"Chini ya Mourinho Manchester msahau mafanikio"
At least Nina Kitu cha kujivunia duniani







Achilia tu bro...usijemkosa na shemeji.Mtashinda nimeyabinya hapa yanakaribia kupasuka
Tafsiri ya mafinikio ni nini?Nawakumbusha tu Mimi ndio yule mTanzania niliesema
,"Chini ya Mourinho Manchester msahau mafanikio"
At least Nina Kitu cha kujivunia duniani
Duuuh sijui hata niandike nini. Acha tungoje kipindi cha pili.
watetezi wa Mourinho mje hapa