ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,359
- 2,273
badoMorinho hajaondoka bado?
badoMorinho hajaondoka bado?
Kama kuna MTU anaweza kufufua comment zangu kuhusu Mou naomba anisaidie Jamani.
Niliandika weeeeeee nikawa naonekana Mpuuzi na kuitwa kila aina ya Majina bahati nzuri Mungu sio Radika wala PRONDo kipigo na kiwango cha team yetu kinazidiwa hata na JKT Ruvu ya Masau Bwire.
Nasema tena Team hii haitafua dafu chini ya "mzaramo" Wa kisiju Jose Mourinho.
GGMU
Jamaa hawachelewi kukwambia wewe ni plastic fanKama kuna MTU anaweza kufufua comment zangu kuhusu Mou naomba anisaidie Jamani.
Niliandika weeeeeee nikawa naonekana Mpuuzi na kuitwa kila aina ya Majina bahati nzuri Mungu sio Radika wala PRONDo kipigo na kiwango cha team yetu kinazidiwa hata na JKT Ruvu ya Masau Bwire.
Nasema tena Team hii haitafua dafu chini ya "mzaramo" Wa kisiju Jose Mourinho.
GGMU
Jamaa hawachelewi kukwambia wewe ni plastic fan
Mourinho hapa united anabahatisha tu..kocha gani huna hata first eleven inayoeleweka??
TUPO MKUU
Kocha Mwenye akili timamu hawezi kuongea juu upuuziNa kizuri zaidi ni kwamba madogo hawakubahatisha,walicheza mpira mzuri kuliko MUFC ya Mou.
Mkuu pole hahahaWakuu natamani nitukane sana nipigwe ban ya maisha kuanzia Man u hadi humu....inaumiza sana huyu Mou anachofanya kweli Mou wakutupeleka Europa dah....
Timu tunayo nzuri sana tu tatizo huyo anaepanga wachezaj na mbinu za kutumia ndio shida....Mda flan mtu unatamani hata kujinyonga ufe labda board itaelewa kiasi gani tunaumia...
uungwana wa hali ya juuNgoja tumalize kiporo chetu usiku tuje kuchekana vyema
Lampard Frank Lampard alimzidi vitu vingi sana kiufundi Jose Mourinho katika mchezo wa Manchester United 2(7)-2(8) Derby Country.Mourinho ana quality player lakini bado anateteleka hivi angepewa West Ham kuiongoza si angekua mtu mwenye stress zaidi...