Msimu ujao au Wiki ijayo!..Mourinho sio kocha wa Manchester Utd kwa msimu ujao natabiri
"..Tunaoumia ni sisi mashabiki.."
Tayarihamjapigwa cha pili tu
Huwez chukua EPL au UCL kama una wachezaj aina ya lingard,lukaku,,smalling,
Msimu ujao au Wiki ijayo!..
Kuwa serious na utabiri wako tafadhali.
Timu inauma mkuuSasa mkuu wewe kinachokuumiza nini?
Man united inakuhusu nini?
Achananayo...!