msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,689
- 8,802
Huwez chukua EPL au UCL kama una wachezaj aina ya lingard,lukaku,,smalling,
Amejibu hili swali?
Nitasubiri UCL wakati naendelea kuchukua vikombe vingine.Hahahah we dogo utasubiri sana....
Time will tell...Nitasubiri UCL wakati naendelea kuchukua vikombe vingine.
Nitasubiri UCL wakati naendelea kuchukua vikombe vingine.
Unajua maana ya box to box midfielder? Kama unajua bila shaka utajua roles zake uwanjaniPogba ni bora sana,
Kwa kifupi yupo dispaointed sana na matarajio ya kocha wetu.
Soft midfielder, talentented, attacking minded unampaje kazi ya kukaba?
Futa maneno yako kwa kurejea alichokifanya Juve akiwa mbele ya Vidal
Nitasubiri UCL wakati naendelea kuchukua vikombe vingine.
NasubiriaAmejibu hili swali?
Nafikiri malengo yao makuu ni kucheza futuhi kama ChelseaHivi man united mna malengo gani msimu huu? Target yenu ni ipi hasa?
From a Liverpool fanJose has a history of destroying players. Sanchez only went to United for the cash 😀😀😀

Butner na Bebe wana medali ya EPL wakati Slippy G hanaHuwez chukua EPL au UCL kama una wachezaj aina ya lingard,lukaku,,smalling,
yuko sawa kanisa na ni dongo kwa mou ndo anasababisha tusishambulie....
From a Liverpool fan![]()
Ladies and gentlemen
Butner na Bebe wana medali ya EPL wakati Slippy G hana
Mechi ya leo ya man u vs derby county kombe la EFL inaoneshwa king'amuzi gani wadau
Supersport wanaonesha msimu huu,?au kama msimu ulopita tuHaiitwi tena EFL inaitwa Carabao Ndugu.