Mourinho. Alipiga mpira back to his side. hahahahahaMchezaji wa ManUtd aliekosa penati nani?
A wapi bulaza just imagine tunapaki hadi kwq derby teba OT timu haina njaa kabisaTimu tulionayo ndio hii hata akija Zidane hakuna atakacho badilisha.
Zidane haiwezi Man utd
Angalau Diego Someone anaweza kufanya kitu pale ila sio Zizzou.
Bado ninaona Mourinho ni mtu sahihi pale utd.
Time will tell
A wapi bulaza just imagine tunapaki hadi kwq derby teba OT timu haina njaa kabisa