Lukaku huwa anakosa clear chance :YES na sio yeye tumeona Morata,Auba,Sterling,Suarez wanakosa magoli
Lukaku last season alianza kwa kasi sana but msimu huu hakuwa na pre-season so hana match fitness (same to Pogba,Matic) na mfumo anaocheza United anapewa mzigo mkubwa sana.Mara nyingi anarudi kati kutafuta mpira na mara nyingi anakuwa isolated peke yake kupambana na 2 CB + Fullbacks
Mpira wa siku hizi umebadilika sana sio wa kumtegemea striker pekee ndio wafunge magoli defenders+midfielders wanapaswa kumsaidia Lukaku/timu kufunga magoli.
One of the strenghth za Lukaku ni mipira ya juu but our midfielders wanashindwa kumtengenezea nafasi ya magoli ya vichwa