Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Kuna maeneo ambayo bado Mou hajaamua nani anapaswa kuanza kikosi cha kwanza, mfano beki za kati
Lakini pia kila mechi ina-approach yake. Mfano mechi ya jana ni physical so fellain alihitajika kwenye game ya gani. Hata Klop juzi kamuanzisha Henderson badala ya Naby Keita. Kuna mechi Stones, Kampany, Otamendi na Laporte wanapishana kucheza pale City kwa sababu tofautitofauti.
Sababu nyingine huwa ni team rotation
Sasa Mou kubadili wachezaji kadhaa sio jambo la ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu kubwa ni timu pinzani wanayokutana nayo, Mourinho amekua akimuanzisha Lindelof kwenye mechi ambazo anajua timu itamiliki mpira zaidi ya mpinzani wake au timu pinzani haina straika ambae ana mwili mkubwa na msumbufi.
Hivyo hivyo ata kwa Man City, Laporte ananza mechi nyingi ambazo City ana uhakika wakutopata upinzani kutoka kwa mastraika wasumbufu. Angalia mechi kubwa kama Laporte kaanza ata moja.
The Best FIFA Football Awards
- FIFA.com