KroenkeOut
Member
- Aug 8, 2018
- 15
- 7
Kuna ukweli hapo khs Lukaku. Umenifanya nami sasa nimuelewe na sintomlaumu tena.Ni vigumu kukwepa kuongelea Mfumo katika magoli anayokosa, kimsingi Lukaku ni Finisher hawezi kufanya Mbwembwe zozote zaidi ya kufunga. Ni mchezaji anayetakiwa kutulia ndani ya 18 na kulishwa mipira amalizie kazi ambayo anaimudu vizuri (Refer magoli mengi anayofunga akiwa timu ya Taifa na hata Man Utd). Magoli mengi anayokosa hata ukiangalia vizuri magoli aliyokosa mechi iliyopita ni yale ambaye anakuwa ametoka kukimbia umbali mrefu hadi kufika golini hivyo pumzi inakuwa imeshamuishia na anashindwa kufanya maamuzi ya haraka
mkuu wewe umangalia list ipi mbna Darmian yupo ?Naona kama Darmian safar imefika jina halipo michuano ya ulaya
Basi nimechemka mkuu kuna link niliona hayupomkuu wewe umangalia list ipi mbna Darmian yupo ?
Man. United - UCL - Squad
https://www.manutd.com/en/news/deta...st-for-champions-league-group-stages-revealed
link mbili kabisa kwa hasira tu ha ha ha
YES wanakosa je kwa kiasi gani??? sawa na Lukaku?? ungeangalia hii mada ilipoanzia usingeniuliza hivi sababu nilishasema mkuu
Naona kama Darmian safar imefika jina halipo michuano ya ulaya
View attachment 859148Hizo ni takwimu za msimu uliopita.
View attachment 859153Hizo ni takwimu za msimu huu mpaka sasa, Lukaku anakosa magoli lakini sio kama matop strikers kama Kane, Salah na Aguero wanavyokosa.
Tatizo kubwa la Lukaku ni kuchelewa kufanya maamuzi.
Hii fisi nashangaa wanaiacha ya nini pale hafai hata kidogo kubaki unavuruga morali ya baadhi ya wachezaji hizi ni sumu.Kazi Mnayo Hapa!View attachment 859200
AiseeLukaku na samatta bora samatta
E&K
Huyu jamaa anabana nafasi za wachezaji wazuri...awekwe bench mpaka dirisha dogo la usajli litakapofunguliWaHii fisi nashangaa wanaiacha ya nini pale hafai hata kidogo kubaki unavuruga morali ya baadhi ya wachezaji hizi ni sumu.View attachment 859309
Hii fisi nashangaa wanaiacha ya nini pale hafai hata kidogo kubaki unavuruga morali ya baadhi ya wachezaji hizi ni sumu.View attachment 859309
Sawa kabisa ila hata ya Burnley tulichecheza vizuri sana ukitoa uchovu Wa lukaku na uvivu Wa pogba japo aliimprove kidogoHahahhaha,mkuu @Radika,tunakomenti kwa zamu kulingana na matokeo ya timu.
Hata ukiangalia comments nyingi humu hazikuwepo pindi tulipochezea kwa spurs.
Kimsingi hatukatai timu kufungwa bali tunafungwa vipi na tunacheza vipi ndio kitu cha msingi kwa upande wangu.
Kati ya game zetu zote tulizocheza,binafsi nilifurahia mpira tuliocheza dhidi ya spurs ingawa ndio game tuliyopigwa kwa aibu zaidi.