Mkuu, kuna striker asiyekosa clear chances? Same to Messi, Ronaldo et al.mada yangu ilibase hapo tu kama ulinielewa vizuri sijasema kuhusu mfumo, match fitness au morale nimesema clear chances na hakuna kocha anaefundisha kufunga
YES wanakosa je kwa kiasi gani??? sawa na Lukaku?? ungeangalia hii mada ilipoanzia usingeniuliza hivi sababu nilishasema mkuuMkuu, kuna striker asiyekosa clear chances? Same to Messi, Ronaldo et al.
Sema kwa Man U tumevurugwa na mwanzo mbovu wa msimu. Mimi ni mtizamaji tu wa kawaida, sijawah ingia dimbani ila kwa Lukaku inaweza kutokea kwa striker yeyote yule. Even kwa Mo ile game tulishinda 2 1 alizingua pia kwa kukosa open chances!
Lukaku ndio striker wetu, Mouh ndio anajua cha kumfanya si sisi watu wa behind screens, keyboards etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
mada yangu ilibase hapo tu kama ulinielewa vizuri sijasema kuhusu mfumo, match fitness au morale nimesema clear chances na hakuna kocha anaefundisha kufunga
Mkuu nimekufuatlia vizuri sna, na concern yako ni kuwa Lukaku hatufai na ni striker mzembe.YES wanakosa je kwa kiasi gani??? sawa na Lukaku?? ungeangalia hii mada ilipoanzia usingeniuliza hivi sababu nilishasema mkuu
of course yes...Manchester United sio timu ya kumsubiria mtuMkuu nimekufuatlia vizuri sna, na concern yako ni kuwa Lukaku hatufai na ni striker mzembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa ni falsafa ya sasa. Tukifanyia mazoezi kucheza mpira kasi kidogo, itakuwa powa.Hivi kwanini tufikiri kwamba tatizo la Man utd ni Lukaku?
Lingard nae aliwaka sana ile matchKieran McKenna na Michael Carrick ni sababu ya United kucheza hivi inavyocheza sasa??? je uwepo wa Rui Faria ulichangia kwa kiasi kikubwa Mourinho kupark bus??
hii ni mechi ya nne sasa tangu ligi ianze na uchezaji wa Man United umebadilika kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na msimu uliyopita.
hebu check hii
8 shots against Leicester City
9 shots against Brighton & Hove Albion
23 shots against Tottenham Hotspur
21 shots against Burnley
binafsi najiuliza mabadiliko haya ya uchezaji ni kwa sababu ya ushauri mpya kutoka kwa watu wapya na ndiyo maana JM alihitaji center back kwa sababu alijua atakuja kwa style mpya ilikucover mashimo??
hebu tuone, wakati utaongea
LUKE SHAW anachoma kama moto
Ni kawaida kwa Manchester united mchezaji akiwa ana recover kutoka kwenye majeruhi anacheza mechi ya reserves halafu anarudi first team. Hata Romero alidaka last match.