Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Apo man u hakuna viungo kama akina Kante Ngolo, Zonzi.. Ndo maana hang'ai na sio kwamba hapendi kubadilika.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo juve walikuwepo wakina zonz? Kante hawez kumfanya pogba ang'ae kama uliangalia final na crotia walishindwa kwenda sawa kante alitolewa ni yeye tu kuifanya akili yake kuwa yupo sawa na baadhi ya wenzie pale kinachomfanya pogba achemke united naona anafikir yeye ni special sana kwenda bench ni kazi lakin france alikuwa na watu aneo lake kwenda bench ni rahisi
 
upo sahihi luke shaw ndiye mchezaji wetu bora kwa mechi nne tulizocheza, amevumilia shutuma zote alizokuwa akibebeshwa na kuamua kuzifanyia kazi na leo hii waingereza na vyombo vyao wamekaa kimya.
luke shaw anatupa mfano tosha ya kwamba jose mourinho hana chuki na wachezaji ila hampendi mchezaji asiyejituma.
ila bado shaw anatakiwa alifanyie kazi suala la upigaji krosi hayupo vizuri sana ukimlinganishana walinzi wengine kama leighton baines.
 
Kweli point mkuu shaw bado cross tu ila one against one yupo vizur alishirikiana vizur sana na sanchez naona shaw anacheza kwa kuingia ndani ya box la adui
 
Apo man u hakuna viungo kama akina Kante Ngolo, Zonzi.. Ndo maana hang'ai na sio kwamba hapendi kubadilika.!

Sent using Jamii Forums mobile app
  • mbona croatia hawana toni kroos, casemiro, isco lakini bado luka modric anacheza vizuri mechi zote.
  • mbona matuidi anacheza vizuri akiwa juventus na ufaransa.
  • mbona ngolo kante anacheza vizuri akiwa klabuni na timu ya taifa.
 
Lukaku at 25 has already scored same EPL goals (104) as your legend despite playing 30 less game AND

Ryan Giggs has won more trophy than your club
Comparing Lukaku with Drogba just because he is now level with him interms of goals scored in EPL is typical madness.
I have hundred reasons to justify that but i won't give you one.
What has the number of trophies won by Giggs to do with this?
 
Mkuu we ni me au ke?

We ni shabiki wa timu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mbona zidane first eleven yake ilikua inajulikana pale Madrid,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maeneo ambayo bado Mou hajaamua nani anapaswa kuanza kikosi cha kwanza, mfano beki za kati

Lakini pia kila mechi ina-approach yake. Mfano mechi ya jana ni physical so fellain alihitajika kwenye game ya gani. Hata Klop juzi kamuanzisha Henderson badala ya Naby Keita. Kuna mechi Stones, Kampany, Otamendi na Laporte wanapishana kucheza pale City kwa sababu tofautitofauti.

Sababu nyingine huwa ni team rotation

Sasa Mou kubadili wachezaji kadhaa sio jambo la ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…