Lukaku ni mzuri sana, tatizo la mashabiki wa Man U mnamfananisha mchezaji na mchezaji. Angalieni upande wa pili wa Lukaku, so powerful, anacheza dakika zote, yuko na shabaha akipewa pasi nzuri. Tatizo pale ni wanaotakiwa kutoa mipira hawafanyi vizuri kazi yao.
Ushauri, Pogba akiuzwa Man U watakuwa wazuri sana kwani kocha na wachezaji wenzake wana expectation kubwa kutoka kwa Pogba ambayo kwa kweli haitimizi kabisa. Masifa na mbwembnwe nyingi akiwa na mpira zinamfanya awe na analoose mipira mara kwa mara