Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tutavumilia tu ila isifikie extent ya Liverpool au arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
Liver kwa sasa si wenzenu mmepishana mlangoni. Liver anatoka gerezani nyie mliyemfunga ndo mnaingia kwa arsenal ndo msiseme kabisa maana arsenal haijawahi kuishi maisha magumu mnayoishi kwa sasa.

Haijavunja rekodi ya kufukuza makocha kama mfanyavyo nyie wao wameachana na kocha wao wenger kwa sherehe kitu ambacho kwenu ni adimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Auzwe Pogba? Sidhani Kama Kuna Kocha Mwenye Akili Timamu Anaweza Kumuuza Mchezaji Aina Ya Pogba.
Business ya timu mojawapo ni kuuza wachezaji na kupata faida au kupata pesa za kuwanunua wachezaji wanaoendana na uhitaji wa wakatu huu
 
Mchezaji anayejiona ni bora kama Pogba akiuzwa timu inapona, angalia Liverpool walipomuuza Coutinho Liverpool ilipona kabla ya hapo timu ilikuwa na matokeo mabaya
 
Mchezaji anayejiona ni bora kama Pogba akiuzwa timu inapona, angalia Liverpool walipomuuza Coutinho Liverpool ilipona kabla ya hapo timu ilikuwa na matokeo mabaya

Coutinho hakuwahi kujiona bora mkuu. Aliomba uhamisho, alipotoswa aliendelea kukipiga bila kinyongo.
 
Hata body bado inamtaka MO, washabiki walio wengi bado wana imani na MO. Ni hapa JF tu ndio wanamuona MO hafai
Mashabiki wengi Wa wapi? Hapa hapa duniani au wewe una ulimwengu wako? N way sina chuki na Mou Bali nachukia namna anavyofundisha timu yake na mfumo Wa zamani sana. Kama timu itaendelea kucheza kama juzi basi mi fresh tu. Tatizo kubwa wanalochukia watu ni namna timu inavyocheza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wengi Wa wapi? Hapa hapa duniani au wewe una ulimwengu wako? N way sina chuki na Mou Bali nachukia namna anavyofundisha timu yake na mfumo Wa zamani sana. Kama timu itaendelea kucheza kama juzi basi mi fresh tu. Tatizo kubwa wanalochukia watu ni namna timu inavyocheza

Sent using Jamii Forums mobile app
Soka la mou ni outdated walishamjulia kuwa hawezi kushambulia ni kuzuia tu hivyo timu pinzani mwanzo mwisho hawamshambulii wanaanza kupaki mwanzo mwisho huku wakimnyemelea akikaa ovyo wanampiga bao wanarudi kumzuia. Lazima timu icheze mpira wa burudani.

Kwisha habari yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  1. Group A: Atletico Madrid, Dortmund, Monaco, Club Brugge
  2. Group B: Barcelona, TOTTENHAM, PSV, Inter Milan
  3. Group C: PSG, Napoli, LIVERPOOL, Red Star Belgrade
  4. Group D: Lokomotiv Moscow, Porto, Schalke, Galatasararay
  5. Group E: Bayern Munich, Benfica, Ajax, AEK Athens
  6. Group F: MAN CITY, Shakhtar, Lyon, Hoffenheim
  7. Group G: Real Madrid, Roma, CSKA Moscow, Viktoria Plzen
  8. Group H: Juventus, MAN UTD, Valencia, Young Boys
 
  1. Group A: Atletico Madrid, Dortmund, Monaco, Club Brugge
  2. Group B: Barcelona, TOTTENHAM, PSV, Inter Milan
  3. Group C: PSG, Napoli, LIVERPOOL, Red Star Belgrade
  4. Group D: Lokomotiv Moscow, Porto, Schalke, Galatasararay
  5. Group E: Bayern Munich, Benfica, Ajax, AEK Athens
  6. Group F: MAN CITY, Shakhtar, Lyon, Hoffenheim
  7. Group G: Real Madrid, Roma, CSKA Moscow, Viktoria Plzen
  8. Group H: Juventus, MAN UTD, Valencia, Young Boys
Hao Young Boys Hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lukaku ni mzuri sana, tatizo la mashabiki wa Man U mnamfananisha mchezaji na mchezaji. Angalieni upande wa pili wa Lukaku, so powerful, anacheza dakika zote, yuko na shabaha akipewa pasi nzuri. Tatizo pale ni wanaotakiwa kutoa mipira hawafanyi vizuri kazi yao.
Ushauri, Pogba akiuzwa Man U watakuwa wazuri sana kwani kocha na wachezaji wenzake wana expectation kubwa kutoka kwa Pogba ambayo kwa kweli haitimizi kabisa. Masifa na mbwembnwe nyingi akiwa na mpira zinamfanya awe na analoose mipira mara kwa mara
Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wengi Wa wapi? Hapa hapa duniani au wewe una ulimwengu wako? N way sina chuki na Mou Bali nachukia namna anavyofundisha timu yake na mfumo Wa zamani sana. Kama timu itaendelea kucheza kama juzi basi mi fresh tu. Tatizo kubwa wanalochukia watu ni namna timu inavyocheza

Sent using Jamii Forums mobile app
Namna ya kisasa ni ipi?
 
Soka la mou ni outdated walishamjulia kuwa hawezi kushambulia ni kuzuia tu hivyo timu pinzani mwanzo mwisho hawamshambulii wanaanza kupaki mwanzo mwisho huku wakimnyemelea akikaa ovyo wanampiga bao wanarudi kumzuia. Lazima timu icheze mpira wa burudani.

Kwisha habari yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soka la kisasa ni lipi? Maana humu kuna makocha wazuri kuliko Mou dah!
 
Vijana wa Old Traford msipokaza Knockout ya 16 bora hamgusi maana Valencia sio wa mchezo mchezo, kama Sevilla waliwafanya vile last UCL basi Valencia ni hatari zaidi yao
 
Back
Top Bottom