radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hatar sana mkuu nimeshangaa hata juhudi ndogo tunazidharau ujue wengi tuliikuta timu kwenye hali nzur ndo mana kufarakana hakuish kipind hikiMkuu huku ndan kuna watu wanauelewa mdogo sana kuhusu Football
