Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usisahau wigan alimpiga city fa na united alimpiga city kwake goli 3 sasa sijui makocha walikuwa wakina nani

Siongelei matokeo ya mwisho mkuu @radika,bali playing style yetu. Kila game tunacheza kama underdogs dhidi ya mpinzani.
 
Tuongelee msimu uliopita ambapo city alifungwa gemu mbili tu za ligi( ya liver na yetu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Man city alimpiga arsenal na chelsea gem zikiwa zimafululiza unataka kutuambia alikuwa akicheza mechi nyepesi?

Kumbuka alikuwa katoka kupigwa na wigan

Kisha akashinda mechi ya stoke na everton kwamba liverpool alimfunga kwa kuwa alikuwa na uchovu wa kucheza mech nne za ligi zote akiwa kashinda?
IMG_20180825_162814_571.jpg
 
Man city alimpiga arsenal na chelsea gem zikiwa zimafululiza unataka kutuambia alikuwa akicheza mechi nyepesi?

Kumbuka alikuwa katoka kupigwa na wigan

Kisha akashinda mechi ya stoke na everton kwamba liverpool alimfunga kwa kuwa alikuwa na uchovu wa kucheza mech nne za ligi zote akiwa kashinda?View attachment 846721
Unajua wewe hunielewi..liverpool alimfunga city gemu zote za uefa pamoja na ligi moja..so liverpool walikuwa bora kushinda city kwa asilimia 75 msimu uliopita kwenye gemu walizokutana..sisi tumekutana la mtu aliyetoka kujeruhiwa two times tena uefa,,unadhani hata kiakili walikuwa sawa..ile gemu tulicheza nini zaidi ya kubahatisha bahatisha!!??..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siongelei matokeo ya mwisho mkuu @radika,bali playing style yetu. Kila game tunacheza kama underdogs dhidi ya mpinzani.
Mkuu hata mm nakubaliana na wewe kwamba timu inacheza vibaya lakini kuna sababu za kuwa hivyo sio kocha tu hilo suala linakwenda had kwa ed
 
Unajua wewe hunielewi..liverpool alimfunga city gemu zote za uefa pamoja na ligi moja..so liverpool walikuwa bora kushinda city kwa asilimia 75 msimu uliopita kwenye gemu walizokutana..sisi tumekutana la mtu aliyetoka kujeruhiwa two times tena uefa,,unadhani hata kiakili walikuwa sawa..ile gemu tulicheza nini zaidi ya kubahatisha bahatisha!!??..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwekea had mech zake hamna alipofululiza akicheza na liverpool pia hiyo sio sababu ya kusingizia ndo mana kuna wachezaj 23

Kabla hatujakutana nae

Kaanza na

Wigan hapa kapigwa
Arsenal hapa kashinda
Arsenal hapa kashinda
Chelsea hapa kashinda

Basel hapa kapigwa

Stoke hapa kashinda
Everton hapa kashinda

Liverpool hapa kapigwa

Manchester united hapa kapigwa


Tumecheza mechi ya brighton tumekosa wachezaji wangapi?
 
Nimekuwekea had mech zake hamna alipofululiza akicheza na liverpool pia hiyo sababu ya kusingizia ndo mana kuna wachezaj 23

Kabla hatujakutana nae

Kaanza na

Wigan hapa kapigwa
Arsenal hapa kashinda
Arsenal hapa kashinda
Chelsea hapa kashinda

Basel hapa kapigwa

Stoke hapa kashinda
Everton hapa kashinda

Liverpool hapa kapigwa

Manchester united hapa kapigwa
Kufungwa mara mbili mfululizo uefa kuliwaathiri city kwa namna moja au nyingine..tulikuwa average kwenye ile gemu,,na tulitumia hiyo advantage ya wao kuchoka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufungwa mara mbili mfululizo uefa kuliwaathiri city kwa namna moja au nyingine..tulikuwa average kwenye ile gemu,,na tulitumia hiyo advantage ya wao kuchoka...

Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea
Liverpool
Spurs tulipowafunga walikuwa na uchovu wa mechi gani?

Sasa hapa napata picha mashabik wa hii timu ni watu wa namna gani.
 
Namaana kukuambia akiondoka poa akibaki poa hadi muda huu ni kocha niache kuishabikia timu? Ipi nguvu yangu ya kumfuta kazi mourinho mechi ile timu yote ilicheza vibaya mbona akishinda hamuonekani kuja na takwimu ushindi umepatikanaje? Kocha alifanya kila njia timu ipate ushindi ikiwa na pamoja na kupumzisha baadhi ya watu ukija kati pogba kuna muda anapiga chenga na kupoteza mipira hovyo kocha anafanyaje?
Sijasema uache kushabikia, sina hayo mamlaka na hata ningekua nayo nisingekuambia uache kushabikia haha (joke).

Unaposema team nzima ilicheza vibaya, unajua unamaanisha nini? Either wachezaji ni wabovu (which is not, at least sio kwa wote), kocha m'bovu (hawezi kufanya team icheze vizuri) au wachezaji hawataki tuu kucheza vizuri (and coach is comfortable with it) n.k. Sasa kwa muono wako tatizo lilikua wapi?

Na kusema kocha alifanya kila linalowezekana, unaweza kunipa mwanga kuwa ni yapi hayo?

#GGMU..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasema uache kushabikia, sina hayo mamlaka na hata ningekua nayo nisingekuambia uache kushabikia haha (joke).

Unaposema team nzima ilicheza vibaya, unajua unamaanisha nini? Either wachezaji ni wabovu (which is not, at least sio kwa wote), kocha m'bovu (hawezi kufanya team icheze vizuri) au wachezaji hawataki tuu kucheza vizuri (and coach is comfortable with it) n.k. Sasa kwa muono wako tatizo lilikua wapi?

Na kusema kocha alifanya kila linalowezekana, unaweza kunipa mwanga kuwa ni yapi hayo?

#GGMU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Timu ilikuwa hovyo na maana mbinu za ile mech hazikuwa nzuri tunawachezaj wazur si wabovu

Nnaposema kocha alifanya kila kitu ni pale alipoanza kubadili wachezaj walau wabadili matokeo lakin haikuwa hivyo hata ukimuangalia hakupenda ile hali pogba alikuwa katikati lakin alikuwa akipiga chenga na kupoteza mipira ukija bailly na mwenzie lindelof walijichanganya sana hawawez kuchaza pamoja kuna muda baiily unamkuta katikati kamuacha victor peke yake hapo ndo linakuja suala la bek mzoefu kumuongoza bailly

Ujue rojo akicheza na bailly walau kuna utulivu huwa hapand sana katikati lazima moja atabak au akiwepo smalling
 
Hapa ndo umenichekesha sana yani unaamini salah alikuwa kikwazo cha liverpool kubeba ndoo? Uliangalia bench la madrid na la liverpool kweli?
Huyo jamaa ni wale mashabiki wa kitaa wanachojua kwenye mpira ni Mourinho kocha mbovu! Full stop huwezi waambia kitu wakaelewa na hao ni wakuachwa waendelee kuumia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom