Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mambo mengine yanahitaji muda mkuu kama pochetino kaijenga timu yake muda mrefu sana huo mwaka ambao katuacha mbali msimu wa kwanza wa mourinho hapo unamuonea msimu pili kashika nafasi ya pili pia kauli zingine ni za mikwara tu kutumia pesa nyingi tunafeli hamna timu isiyopitia hayo mkuu cha msingi mengi yanaibuka kwa kuwa mwenendo wetu na mbaya

Akifukuzwa poa akibaki poa.
 
Wapendwa tujiandae kuwa na msimu mbaya zaidi..na naomba Huu uwe ni msimu wa mwisho wa Morinho

Tuleteeni hata babu ziizzou(ZIDANE) hapo OT jamani..

Majirani(Liverpool) wako vizuri kichizi na wana sababu zote za kubeba ndoo unless wafanye ujinga..
Tabu ipo pale pake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza wadau, hivi sisi wapenzi na mashabiki wa MUFC tuliopo Africa tunauwezo wa kuijua timu kuliko wale walio England and specifically walipo jiji la Manchester? If not why all these arguments?
Yes tuna uwezo huo boss, huu mpira hatusikilizi kwenye radio kwamba tunakisia tu ila tunauangalia kwenye TV. Ninachokiona nikiwa Tz ni sawa na anaeona akiwa Ulaya. Mambo ya kwenye pitch yanaonekana worldwide ila tunakuja kutofautiana kwenye opinions.

Arguments nyingi humu kwa sasa ni kuhusu performance ya timu. Hauhitaji kuwa Manchester physically ili ujue performance ikoje.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naenda kuangalia sema tu banda la mpira nila nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liver chini ya klopp wanacheza mpira mzuri hadi fainali ya UEFA wamefika,so ni hatua kubwa sana ndugu. Tatizo sisi tunafungwa kiajabu ajabu tunacheza mpira Wa ajabu ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wachezaji wengi hawakatai kuwa chini ya mou kwa sababu ya maneno yake Bali ufundishaji wake mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…