Mzuka kwangu umekata kabisa..kocha kazi kulalama tu,..spurs asilimia 85 ya first eleven yao walikuwa world cup..Msimu huu tunanza with low expectations na wengine tumepoteza interest kabisa ya kuifuatilia timu.
Kocha ameshidwa kumotivate wachezaji, kazi yake ni kulalama tuu eti hana wachezaji muhimu, utazani ni yeye pekee yake ndio alipeleka wachezaji WC. Yaani anashidwa kuwa inspire wachezaji alionao kwa wakati huu.
Mimi naona Mou kashidwa, anachofanya ni kutafuta excuses
Arsenal lazima wabebe kombeMtapata shida msimu huu
Tutawatunza na kuwatumiaJoel perreira kajitahid kudaka penat nguvu ya academy
Fosuh mensah
Andreas perreira
Joel perreira
Axel tuanzebe
Scott mctominay
Himilton
Hawa leo wamecheza vizur.
The future is bright
Aliuzwa yule dogoTutawatunza na kuwatumia
Kuna LB mmoja jina kama Jackson wakati wa Van Gaal sijui kapotelea wapi
Umemaliza mkuu Mou ndo shida pale Manchester na sio Wood maana haiingii akilini kila mchezaji anaekuja pale hafanyi vizuri na aliowakuta hawafanyi vizuri pia.acha nigeuke kinyonga siku ya leo kwa kumtetea ed woodward lakini kesho nitakuja kumtetea mourinho.
aigoooooo
gwenchanah gwenchanah
- wakati wa peter kenyon usajili mkubwa na wa gharama uliofanywa na manchester united ulikuwa ni usajili wa rio ferdinand kutoka leeds united kwa pound million 33.
- wakati wa utawala wa david gill biashara kubwa ya gharama aliyoifanya ilikuwa ni usajili wa dimitar berbatov kwa pound million 31.
- ed woodward ana matatizo yake lakini kwenye ishu ya kumwaga hela kwenye usajili anajitahidi sana japokuwa yupo kibiashara zaidi ila bahati mbaya wanaomuangusha ni makocha waliorithi timu kutoka kwa alexander ferguson. tusisahau edwoodward ndiye aliyekuwa mtendaji mkuu wa klabu wakati sir alex anamsajili robin van persie.
- achana na david moyes kutokuwa na ushawishi kwa wachezaji na hatimaye kuishia kumsajili fellaini na kuzidiwa kete na guardiola kwenye usajili wa alcantara. alipokuja van gaal woodward alifanikisha usajili wa wachezaji kama dimaria (54 million), darmian (14 million), blind (15 million), schneiderlin(26 million), martial(40 million), marcos rojo (17 million), sergio romero, victor valdes, luke show (27 million), mwisho wa msimu tuliishia hatua ya makundi kwenye ligi ya ulaya na kuishia nafasi ya 5 kwenye ligi kuu, kwa nini tumlaumu ed woodward?
- tukirudi kwa mourinho naye kisingizio chake kikubwa ni kuwa eti amerithi timu dhaifu zaidi ya timu aliyorithi mpinzani wake guardiola, inawezekana muna ukweli uliodhahiri ndani ya hoja yake lakini ed woodward kwenye soko la usajili alimpa msaada mkubwa sana, tunapaswa tukumbuke ya kwamba msimu wa mwanzo wa mourinho alisajili wachezaji kama vile eric bailly (pound million 25), mkhitaryan (pound million 26) na pia tulivunja rekodi kwa kumsajili paul pogba kutoka juventus.
- msimu uliopita alikubali kulipa pound million 75 kwa usajili wa lukaku, lindeloaf (30 million) na januari alifuta kosa lake la kushindwa kumsajili perisic baada ya kulipa pound million 30 kwa ajili ya sanchez. msimu huu tayari ameshalipa million 53 kwa ajili ya fred, sasa kwa nini tumlaumu ed woodward?
- timu aliyonayo mourinho ni kubwa zaidi ya kikosi cha manchester united kilichoshinda ubingwa kwa mara ya mwisho ila yeye ndio tatizo kwa sababu a meshindwa kutengeneza chemistry ya maana kwa wachezaji.
José on MUTV: "As always, I give my list of players I want to Mr. Woodward, and I wait to see what happens. Am I happy? I am not happy with many things, but I have not spoken to him as he is on his holidays.”
shikamooo woodward na nimeona tetesi zinasema mourinho anataka kuachana na timu.
Sidhani kama kuna msimu sijafuatilia transfer ya timu yangu kama msimu huu yani sina mzuka wala.Msimu huu tunanza with low expectations na wengine tumepoteza interest kabisa ya kuifuatilia timu.
Kocha ameshidwa kumotivate wachezaji, kazi yake ni kulalama tuu eti hana wachezaji muhimu, utazani ni yeye pekee yake ndio alipeleka wachezaji WC. Yaani anashidwa kuwa inspire wachezaji alionao kwa wakati huu.
Mimi naona Mou kashidwa, anachofanya ni kutafuta excuses
Andreas perreira ni mbaya kwenye kupiga penet
Perreira kamsumbua sana mtu mzima reina penalties zote kampeleka marikiti (market ) hata tuanzebe na mensah penalties zao zilikuwa nzuri.Joel perreira kajitahid kudaka penat nguvu ya academy
Fosuh mensah
Andreas perreira
Joel perreira
Axel tuanzebe
Scott mctominay
Himilton
Hawa leo wamecheza vizur.
The future is bright
Hawa madogo penat wamepiga mkuu ila perreira noma ya pili kaliga vizur sana tuanzebe na mensah nao zilikuwa nzur sifikirii kama mourinho atawatoa kwa mkopoPerreira kamsumbua sana mtu mzima reina penalties zote kampeleka marikiti (market ) hata tuanzebe na mensah penalties zao zilikuwa nzuri.
Nilimtazama msimu uliopita akiwa Valencia kwa mkopo alicheza vizuri hivyo sidhani kama atatolewa tena kwa mkopoPerreira kamsumbua sana mtu mzima reina penalties zote kampeleka marikiti (market ) hata tuanzebe na mensah penalties zao zilikuwa nzuri.
Nilimtazama msimu uliopita akiwa Valencia kwa mkopo alicheza vizuri hivyo sidhani kama atatolewa tena kwa mkopo