SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Kwani kufukuza kocha ni kuikimbia hali ya liverpool?
Suala ni kumleta kocha ambae anafanya progress
Sio progress ya huyu ya kutoka nafasi ya nne kwenda ya pili
Kwani kufukuza kocha ni kuikimbia hali ya liverpool?
Kocha hafukuzwi sasa na anataka watu wake tufanyaje aachwe achezee vichapo au asajili?
Hahahahaha point.Suala ni kumleta kocha ambae anafanya progress
Sio progress ya huyu ya kutoka nafasi ya nne kwenda ya pili
Utaniambiaje ntasubir sana ikiwa huna hata harufu ya epl since 1992 what a joke???
Kuna guarantee gani kuwa atakaowasajili wataperform kama tu ambao amewasajili hakuna aliyedeliver ukiacha matic kidogo??Kocha hafukuzwi sasa na anataka watu wake tufanyaje aachwe achezee vichapo au asajili?
Timu imepoteza uelekeo toka sir alex aliposepa na makocha waliowaleta bado hawajakidh viwango ni ngumu kusema tupo kwenye mbio za ubingwa halafu utakua uongo ndo mana msimu ulioisha mourinho aliambiwa na ed hakuwa na msimu mbaya kwa kuwa yupo nafasi ya pili kicha anacheza champions league umeona hapo?Unajilinganisha na kipofu? Seriously?
ManU ina standards zake na ni kugombea ubingwa wala sio top 4
Sasa ndo ilikuwa karata yake ya mwisho ili afukuzwe wakishindwa kwa sasa kapata visingizio ndo mana mashabik wanamlaumu ed kwa hilo sijui kama tunaelewa mkuuKuna guarantee gani kuwa atakaowasajili wataperform kama tu ambao amewasajili hakuna aliyedeliver ukiacha matic kidogo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu imepoteza uelekeo toka sir alex aliposepa na makocha waliowaleta bado hawajakidh viwango ni ngumu kusema tupo kwenye mbio za ubingwa halafu utakua uongo ndo mana msimu ulioisha mourinho aliambiwa na ed hakuwa na msimu mbaya kwa kuwa yupo nafasi ya pili kicha anacheza champions league umeona hapo?
Ndo mana nimekuuliza sisi kama mashabik tunafanyaje sasa kuhusu mourinho unaniambia tutasubir sana kwa hiyo?Yaleyale ya Wenger eti kila mwaka top four na champions league
Ndio uelekeo huo kwa sasa.
Gone are the days when ManU was ruthless and hungry for crowns
Mtasubiri sana kwa Mou huyu
Ndo mana nimekuuliza sisi kama mashabik tunafanyaje sasa kuhusu mourinho unaniambia tutasubir sana kwa hiyo?
Uliposema mourinho hakubeba ndoo mbele ya pep nimeshangaa bado ukalilia suala la kufukuza sio jepesi kama unavyofikirFire his ass!
Nakushangaa unaposema nina chuki nae wakati hanilipii hata rent na wewe umengangania kuwa ni bonge la kocha
Hahahaha itakuwa simu yakoKama Nimeona Kitufe Cha Dislike kwenye Hii JF au Simu yangu tu?
Halafu naona unanilisha maneno wapi nimeandika mourinho ni bonge la kocha?Fire his ass!
Nakushangaa unaposema nina chuki nae wakati hanilipii hata rent na wewe umengangania kuwa ni bonge la kocha
Naomba kuuliza wadau, hivi sisi wapenzi na mashabiki wa MUFC tuliopo Africa tunauwezo wa kuijua timu kuliko wale walio England and specifically walipo jiji la Manchester? If not why all these arguments?
Uliposema mourinho hakubeba ndoo mbele ya pep nimeshangaa bado ukalilia suala la kufukuza sio jepesi kama unavyofikir
Tip tap
Tiki Taka
Organization
Positional play
gen gen pressing
SarriBall
Average players
Error 404 file does not exist please check the recycle bin
or park the bus
Halafu naona unanilisha maneno wapi nimeandika mourinho ni bonge la kocha?
Hilo la bonge la kocha la kwako naona unatafuta utoke vipi suala la makombe hata nyie mngebeba wamepita makocha wa kila aina naona mnayo kibao huko kwenuOk ok ok
Mou ni bonge la kocha.
Mwache abaki Old Trafford for as long as you would wish. Makombe yatakuja na style ya plying itabadilika.
Be easy, dude
Be happy
Tafsir yake ndo bonge la kocha?Umesema nina chuki nae