Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Punguzeni utani nyie watu!View attachment 838095
Keita vs Fellaini
Fellain hatakiwi awepo sehemu yyt ambayo Keita anakuwepo
Unalinganisha vipi chezaji aliyeanza Bundesliga mechi zote 36 dhidi ya Fellain aliayenza mechi 2?
Punguzeni utani wa kufananisha mtu na kamtu!!
Kweli inamwagwa jezi Fellain anafikiriwa hata kuichukua wkt yupo Keita?
Kichekesho sana hiki
kutembeleana muhimu mkuu