Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford hatakiwi hata kugusa jezi ya Manchester, achilia mbali kuivaa, asingekua mwingereza saizi angekua anatokea sub mk dons au millwal

In love with united
Hahaha..ndo kwanza kapewa jezi no 10,iliyokuwa inavaliwa na watabe kama akina wayne rooney
 
Rashford hatakiwi hata kugusa jezi ya Manchester, achilia mbali kuivaa, asingekua mwingereza saizi angekua anatokea sub mk dons au millwal

In love with united
That kid is over rated. Yaani alianza vizuri, lakini naona sifa zinamjaa na siku hizi amekua so selfish ili tuu a prove kuwa he got talent.

Inabidi apelekwe loan huko mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguzeni utani nyie watu!
Fellain hatakiwi awepo sehemu yyt ambayo Keita anakuwepo
Unalinganisha vipi chezaji aliyeanza Bundesliga mechi zote 36 dhidi ya Fellain aliayenza mechi 2?
Punguzeni utani wa kufananisha mtu na kamtu!!
Kweli inamwagwa jezi Fellain anafikiriwa hata kuichukua wkt yupo Keita?
Kichekesho sana hiki
Sasa mkuu unabishana na hizo statistic hapo juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa atakuwa wa Chatto huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha.
IMG_20180818_165117_250.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom