Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Nimegundua pia hilo. Labda itakuwa ni kwa msimu huu tu.Tatizo ni jezi tunayotumia (fulana) ina rangi nyeusi kwa chini hivyo haipatani na bukta nyeupe
Vipi kuhusu soksi hujagundua tu kwamba soksi zenye rangi nyekundu nao sio utamaduni wetu uliozoeleka
Kawaida ni fulana nyekundu,bukta nyeupe na soksi nyeusi