Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo ni jezi tunayotumia (fulana) ina rangi nyeusi kwa chini hivyo haipatani na bukta nyeupe

Vipi kuhusu soksi hujagundua tu kwamba soksi zenye rangi nyekundu nao sio utamaduni wetu uliozoeleka
Kawaida ni fulana nyekundu,bukta nyeupe na soksi nyeusi
Nimegundua pia hilo. Labda itakuwa ni kwa msimu huu tu.
 
Perreira nimemkubali sana akirudi matic kiungo kipo timamu hata fred kaonesha kuna kitu trust mkuu jamaa yupo sawa
Timu inao wataalam, ni kazi ya kocha kuwa-organize. Awaache vijana wacheze mpira. Midfiielders wapo wazuri kuanzia Scott, Perreira, Fred, Herrera, Matic mpaka Pogba. Vijana wanajua, sema approach ya mwalimu ndiyo inakuwa ishu
 
We jamaa vipi..kigoli uchwara kile, wewe ndo unaona amefanya kazi...sanchez huyu akuna kitu anakifanya uwanjani,na angekuwa kocha mwingine mwenye akili,hata namba hapati kwa mpira anaocheza..anacheza utafikiri mnywa gongo
Mkuu tafuta ie mechi uingalie vizuri bila tension kisha uje utoe comments zako
 
38864817_10156868286923598_6931724551684358144_n.jpg
 
Naamini hatukumsajili sanchez aje acheze hivi,wewe unavyosema kuwa alikuwa vizuri..

Tuache unafki sanchez bado hajaonyesha sababu ya yeye kusajiliwa united..yaani mtu analipwa £350,000 kwa wiki anacheza hivi!!...No way!!
 
Back
Top Bottom